Club ya Simba imezindua jersey yake, wadau mbalimbali baada ya kuiona wametoa maoni yao!
Wapo walioisifia na wapo walioipenda…!!
Kitu ambacho pia kilitokea wakati Yanga wanazindua jersey zao za msimu mpya!
Club nyingine zimezindua lakini maoni ya wadau kuhusu jersey zao hayajasikika sana labda...
Suala la kuview ni lingine na kucomment ni lingine!
Wewe kwani nyuzi ngapi unaziview bila kucomment chochote?
Lakini hata hicho ulichoandika ni comment pia!
Wenye maona ya kipi sahihi watakuja!
Kuna watu wengine huwa wanaview nyuzi anasubscribe anarudi baada ya muda kucomment!
Nimeileta hii mada kama swali, kutokana na changamoto ambazo huwa zinajitokeza katika mahusiano!
Unakuta mwanaume ameishi na mwanamke kwa kipindi cha mwaka mmoja au miwili bila ndoa, inafikia kipindi mwanamke anaanza kumuuliza mwanaume kuhusu namna anavyoutumia mshahara wake ama mshahara ni...
Mbona hamna update za mahojiano kama ile kesi ya mchongo ya akina Kingai.
Waliopo kwenye viunga vya mahakama walete update tusikie wanavyojikanyaga na kutetemeka!
Wanayanga tuungane tumlipie Manara hii faini aliyotozwa na TFF!
Manara amekuwa mtu mwenye mapenzi mema na timu yetu ametutetea sana, na hata hiki kifungo alichopata ni kwa sababu ya mapenzi yake mema na Club yetu!
Hivyo tupitishe bakuli ndani ya siku chache million 20 tunapata, inalipwa!
Wengine...
Tatizo mkuu si wote wanajua namna ya kifahamu trusted sellers app! Hizi app au sites zinazojulikana na wachache kwamba si trusted zinapata wateja pia!
Wapo wauzaji wanaotangaza bidhaa zao kote kote wanajua kwenye app flan ni trusted wanakuwa waaminifu huko, na upande mwingine wanajua kuna...
Soma vizuri, siyo instagram boss!
Kuna hii mitandao,zoom, jumia, kariakoo mall, kupatana n.k!
Ni mtandao ambao una app kabisa kati ya hiyo niliyoitaja!
Na ujue kwenye hii mitandao kuna bidhaa used, so aliona used akaona inamfaa akatoa oda akaletewa mzigo, akakagua akalipa baada ya kuridhika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.