Kesi ya Wabunge 19 waliotimuliwa CHADEMA yaendelea Mahakamani

Kesi ya Wabunge 19 waliotimuliwa CHADEMA yaendelea Mahakamani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,545
Reaction score
284,046
Leo Tarehe 3/11/2022 kesi ya Wabunge Mamluki wasio na Chama baada ya kutimuliwa na kuvuliwa uanachama wa Chadema , inaendelea tena

Kama kawaida Wakili Msomi Peter Kibatala anaongoza Jopo la Mawakili wa CHADEMA.

Hawa Mwaifunga ndio Msaliti anayeendelea kuhojiwa kwa sasa , baada ya awali kesi kuahirishwa kutokana na kilichodaiwa Shahidi huyo kuugua .
 
Leo Tarehe 3/11/2022 kesi ya Wabunge Mamluki wasio na Chama baada ya kutimuliwa na kuvuliwa uanachama wa Chadema...
Mbona hamna update za mahojiano kama ile kesi ya mchongo ya akina Kingai.

Waliopo kwenye viunga vya mahakama walete update tusikie wanavyojikanyaga na kutetemeka!
 
Leo Tarehe 3/11/2022 kesi ya Wabunge Mamluki wasio na Chama baada ya kutimuliwa na kuvuliwa uanachama wa Chadema , inaendelea tena

Kama kawaida Wakili Msomi Peter Kibatala anaongoza Jopo la Mawakili wa Chadema .

Hawa Mwaifunga ndio Msaliti anayeendelea kuhojiwa kwa sasa , baada ya awali kesi kuahirishwa kutokana na kilichodaiwa Shahidi huyo kuugua .
Mkuu,
Tuleteeni mtiririko kama kesi ya mbowe
 
Back
Top Bottom