Habari za asubuhi ndugu zangu naamin mnaendelea salama...kuna tatizo moja linamkabiri mdogo wangu ambaye kwa sasa anasoma nnje ya nchi....alimaliza form six 2015 na matokeo hayakua mazuri sana so akatumia cheeti cha form 4 kuapply chuo akapata chuo na alipofika katika hicho chuo alisoma kwa...
mkuu umeeleweka sana...Nakumbuka nilikua na mahusiano na binti mmoja bila kuwaambia wazazi wangu pia sikua naijua vizuri hiyo familia lakini mama yamgu kwa hekima zake akagundua aliniita siku moja akanielimisha swala la ndugu wa upande wa pili coz alikua anawafahamu vizuri ...niliachana na yule...
unasikia ....wew sio muhusika wa huyo MTU hata kidogo na hamjaingia mkataba wowote mim niliwah pata the same situation ya dem kunywa sumu ..but nilipofanya uchunguzi kusoma makala mbalimbali nikaona kuwa hilo sio kosa langu coz mim ni MTU mwenye maamuzi yangu na kila MTU ana haki ya kuheshimu...
Yaani ..huyu jamaa ana miaka 27 lakin ni kama mtoto asiyejielewa tayar inaonesha unamtaka huyo wa pili coz unapewa ushauri still unatoa sababu za kijinga ...usioe kwa kuonea MTU huruma eti hospitali wiki mbili be strong.. your the one to decide for your future kwa kutumia akili na weledi sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.