Habarini ndugu, mimi ni mwanamke ambaye hivi karibuni mwanaume wangu anataka akajitambulishe kwetu pamoja na kunivisha pete. Sasa tatizo ni kwamba ananiambia anipe hela nikanunue mwenyewe na mimi kiukweli napenda yeye ndo anunue. Naona kama halipi uzito hili swala na sio kama namforce. Naombeni...
Habarini ndugu,
Mimi ni mwanamke ambaye hivi karibuni mwanaume wangu anataka akajitambulishe kwetu pamoja na kunivisha pete sasa tatizo ni kwamba ananiambia anipe hela nikanunue mwenyewe na mimi kiukweli napenda yeye ndio anunue naona kama halipi uzito hili swala na sio kama namforce...
Nilisahau kuuliza, nikaenda duka la dawa lililopo karibu ila aliyekuwepo hakuwa mtaalam kwa hiyo hakua anajua pia, hadi nauliza hapa sijaona kikaratasi cha ndani wala maelezo yaliyopo kwenye dawa hayajielezi kuhusu mayai. Nimejaribu kugugo sijaona pia. Sijakurupuka tu.
Kama huna ushauri kaa...
Habari
Naomba kujua athari za dawa ya kuku kwenye mayai. Nimewapa kuku dawa ya typhoid inaitwa Fatrium bado wapo kwenye dozi, mayai yanaweza kuliwa au nisubiri siku kadhaa. Naomba anayefahamu anijuze
Wengi kwa nje unaweza kumkuta mpole na mwenye nidham lakini huwa na wanawake wengi sana. Nahisi kwa kuwa ni kama walivuka stage. Yaan leo yupo na huyu kesho na huyuu yaan kifupi ni vitombi[emoji125] [emoji125]
Tatizo la damu kuganda kwenye ubongo kwa mtoto husababishwana nini? Anayejua tafadhal naomba msaada kwani kuna mtoto amepoteza faham anapumua kwa mashine yaan kifupi hali yake ni mbaya. Madaktari wamesema damu imeganda kwenye ubongo. Hii husababishwa na nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.