Habari jf, njia ya kuingia getini kwangu ina mchanga mwingi sana hali inayopelekea gari ndogo(iliyochini) kupita kwa shida. Naomba ushauri nitafanyaje ili njia iweze kupitika kiurahisi maana nikizoa bado gari inatitia
1. Nahitaji chumba na sebule kiwe cha kisasa (tiles, gypsum). Iwe rahisi kufikika (barabara) na mazingira yasiwe ya uswahilini . Isiwe mbali sana na city center. Budget Tsh 100,000/mwezi
2. Pia nahitaji chumba kimoja maeneo ya karibu na city center
Habari wanajf, nahitaji kufanya biashara ya kutengeneza na kuuza chaki naombeni kujuzwa chochote mnachofahamu kuhusu biashara hii. Natanguliza shukurani zangu
Umenikumbusha last time nilivyopima. Ilikuwa ni lazima kwa waajiriwa wapya kufanyiwa medical checkup ya kila kitu hadi HIV. Hivyo nilitakiwa kwenda kwenye hospital waliyorecommend alafu majibu hospital yenyewe itapeleka.
Mpimaji akaniuliza uko tayari kupima HIV nikamjibu ndio ila majibu msinipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.