Recent content by Q-liner

  1. Q-liner

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Wapi??? Yamenunuliwa mashine za umwagiliaji za bei kubwa sana tena 10% ndo watu wamekula sana. Najua mengi sana Kuhusu huo mradi itoshe kusema : Tume ya Umwagiliaji ,wakala wa mbegu,wizara ya kilimo!kuna watu wamepiga pesa za hatari. Achans na BBtT kuna miradi ya umwagiliaji inafanyika kila...
  2. Q-liner

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Imepigwa pesa pale na bado inapigwa !vimechimbwa visima vya kutosha na zimenunuliwa ma mashine za kutosha ,watu wamepiga sana hela!!
  3. Q-liner

    Zitto Mshauri OMO kuwa Pragmatist,Acheni Ujinga Pelekeni Majina ya SUK, Kususa Hakusaidii KITU

    Wewe ni kibaka tu wa siasa!!ndio mliomshauri aingie kwenye uchaguzi wakati reform zilikuwa zinahitajika!sasa kadhulumiwa jimbo na halipat tena! Maisha hayana janja janja, ukitaka janja hizo lazima uwe kibaka kama wewe na mwenzako madelu!
  4. Q-liner

    TAKUKURU fuatilieni hii

    Habari. Nikiwa kama mdau kwenye sekta ya Maji Kwa muda mrefu kuna jambo nimeliona halipo sawa. Naomba TAKUKURU Mfuatilie maana wahusika wanajulikana. Ni mazoea kwasababu yanafanywa kila siku lakini kuna muda inafika Athari inakuwa kubwa kwa Taasisi . Kwenye sekta ya Maji kuna upande unaitwa...
  5. Q-liner

    Ukitaka kununua kiwanja hakikisha survivey plan iko approved wizarani

    Ni vema kuitaja Ili watu waweze kuijua Ili mtu asiingie tena kwenye mtego wa matapeli
  6. Q-liner

    Kandarasi nyingi kuchukuliwa na wachina, ni ubora au unafuu wa gharama?

    Rushwa tu hakuna kingine. Nilienda Kigoma nikakuta kuna Mchina anafanya mradi fulani akaniambia sasa tunataka tujipenyeze kwenye wizara fulani ili nako tuwe tunapata miradi. Akaniambia hebu nisaidie kupata watu huko ili nipate miradi. Nikamwambie ujanja huo sina na huko sikujui. Kuna nini...
  7. Q-liner

    Car4Sale Toyota Kluger For Sale

    Imepigwa rangi mjomba ilishawahi pata majanga?
  8. Q-liner

    Mama Sinyali Boss la Kariakoo

    Namjua vizuri sana huyu mama zaidi ya kuuza vipodozi vya haramu ,hana kitu yoyote uyo!! Anawadanganya danganya watu kwenye social media.
  9. Q-liner

    Hawa Waha wanaokopesha vyombo ni wachawi kweli kweli

    Ivi kwanini mtu anakua na roho ya utapeli,kwanini mtu anachukua kitu Cha mtu unajua kabisa sitomlipa. Aisee tubadilike.
  10. Q-liner

    Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

    Nafikiri huyu Jamaa humfahamu vizuri, nikwambie tu huyu yeye mwenyewe haamini katika hicho kilimo.
  11. Q-liner

    George Simbachawene ni nani hasa?

    Kukimbia ,ukifanya nae biashara yoyote uwe makini nadhani ushanielewa ana biashara ya magari makubwa uyo ( semi-trailer) Namjua huyu bwana vizuri mno.
  12. Q-liner

    George Simbachawene ni nani hasa?

    Tapeli uyo mkubwa,ukifanya naye jambo lazima akuache beach. Hawa watu wakiwa wanaongea utadhani ni wazalendo lakini kiundani ukijua mambo yao hawana tofauti na Dude yule wa Bongo Dasalamu
  13. Q-liner

    Serikali iangalie namna ya kuwasaidia vijana moja kwa moja. Athari za baadaye ni kubwa zaidi

    Acha kelele hakuna chochote hapo kinafanyika zaidi ya mboyoyo. Hela wanagaiana wao kwa wao na vikundi ni vyao,hakuna kitu yoyote utapata hapo zaidi ya commission za watu. Unasema watu wanafundishwa kuchimba mtaro??,usafi?? Hebu kuwa serious
  14. Q-liner

    Tunarudi kwenye enzi za mabosi wa Mashirika ya Umma kujaza watu wa makabila yao. Tiketi aliyotoa Rais inaenda kupiga mchujo wa kikabila kwenye ajira

    Hoja yako ni nzuri sana na niseme tu Mama anashauriwa vibaya hawa wajanja waliokuwepo nae wameshindwa kupitisha vi memo ,wamemuingiza King akakubali. Kifuatacho Mkuu wa shirika lolote atakapohitaji kuajiri watu ambao anaowataka atapitia njia za mkato,kwa maana anaweza akatumia kigezo...
Back
Top Bottom