Huyu jamaa Malcolm X me namwona km snitch Anazungumzia ubaguzi wa amerca hakujua zaidi ubaguzi unaofanywa na haya majibwa ya kiarabu asingethubutu kamwe kuandika waraka wake wenye muono wa namna hiyo anyway ndio maana wa marekani walimpasua bichwa lake mapema maana wapuzi km hawa huwahawachelewi...
Tanzania kichwa cha mwendawazimu kama alivuosemaga mh. mmoja yaani Screen ya 400k miaka 30 jela lkn majizi ya mabilioni wapo uraiani na wanaendelea kutuongoza😭
Pole sana ndugu jambo kama hili si kwako tu huwakumba wengi sana unachopaswa kufanya ni kukubali kwamba umefanya makosa tayari,kubali kuanza upya kwa sababu 500k umetumia kwenye gambe kwa ridhaa yako mwenyewe na starehe zako kwa hiyo kubali adhabu iliuojipatia mwenyewe utatoka taratibu kwenye...
utafiti wako kwa aslimia nyingi unaweza ukawa na ukweli ndani yake kwa sababu hii kitu nimeshisikia kwa jamaa zangu wakaribu pia wakizungumzia hilo ukiachana malaya wanaojiuza kwenye majiji makubwa ambapo sio rahisi kumtambua mtu katoka wapi pia kunabaadhi ya mikoa km Singida pale kirima...
All the best uwazuri ila naomba ukishapata utupatie mrejesho hapahapa kwa ajili ya kupunguza usumbufu na msongamano maana kuna wengine huenda wana sifa lakini wameshelewa kuitikia wito wako au sab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.