Tatizo letu kuu kama Taifa ni "HAKI" ikionekana kwenye Nchi moja ambayo Mungu amewapa na ikatokea baadhi ya wana wa Nchi wanajiona wana haki kuliko wengine lazima mmomonyoko mkubwa wa Utu kutokomea. Viongozi wetu wanayodhamana kuturudisha kwenye mstari kwa kutuunganisha. Makundi yote yaje pamoja...
Kumbuka kanisa Lilikuwa TAG, baada ya ule mgogoro hayati Moses kulola na kundi lake waliamua kujitoa TAG na kuanzisha EAGT. Uporaji uaozungumziwa ni wa mali za TAG kwani viwanja na makanisa yaliyokuwa yanatambulika TAG yalibadilishwa na kuwa EAGT
Kama kiongozi kuna kutoa maoni na kulalamika mitandaoni yeye anayonafasi kubwa ya kuketi na wakuu wa chama na kuyazungumza lakn mwisho wa siku wengi wape kama maamuzi yameshatolewa hata kama yeye alikuwa na maoni tofauti bado maamuzi ya vikao halali vya chama alipaswa kuwa upande huo
Tatizo utopolo fc ni wasahaulifu sana, utopolo fc hawataki mashabiki wa Simba kwenye mechi zao na hata wanadiriki kufanya uhuni uliopitiliza wa kupiga watu Leo mnaambiwa shughuli hii haiwahusu ni ya kikubwa nnalilia! Jaman
Kikubwa tupendane!!! Pendaneni! Acheni chuki sisi wote ni sawa Mungu katuweka kwenye hii Nchi Tanzania wote tu sawa! Hakuna mwenye haki miliki ya Tanzania peke yake. Chuki ni mbaya inaweza kusababisha mfarakano kwenye hii familia Tanzania
Pendaneni wenzenu kuwa upinzani sio sababu ya kuwachukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.