Sadaka ni ibada Mkuu.Tunawaomba TAKUKURU waje na huku Roman Catholic. Waje Takukuru kuchunguza RC maana sio kwa michango na sadaka kwa lazima. Kila kigango au parokia mnatakiwa kuchangia kiasi fulani nk. Siku hz watu wengine hatuendi kanisani kwa sababu ya michango na sadaka...
Ukiona kiongozi wa dini anajikomba kwa mtawala, tambua kuna uchafu anatembea nao.Hawa si ndio wale juzi walimpa mzee Pombe tuzo ya kushinda Korona?
Itakuwa walimpuja mzee kwenye mganoHawa si ndio wale juzi walimpa mzee Pombe tuzo ya kushinda Korona?
Wanasifia ajili ya kupiga diliMakanisa ya kihuni haya kila siku kuwasifia watawala
Kama kuna ukweli hapo ndaniInasemekana kuna issue ya ukabila kwenye huu mgogoro. Marehemu askofu Kulola alipofariki wasukuma wenzake walitarajia waendelee na vitengo ndani ya ranks za kanisa hata bila ya kusimamia maadili ya kanisa.
mataga unataga na kunilisha maneno.Kwa hiyo hutaki wachunguzwe?mijitu ya chadema akili zenu zimevurugwa sana
Hawa si ndio wale juzi walimpa mzee Pombe tuzo ya kushinda Korona?
Ndio hao hao. Ukiona kiongozi fulani wa Kanisa anajipendekeza kwa JIWE ujue usafi wake una mushkeliHawa si ndio wale juzi walimpa mzee Pombe tuzo ya kushinda Korona?
Huyo askofu mnayemsema ni mskuma alizaa nje ya ndoa zamani sana hata kabla hajaingia kanisani kwenye utumishi sema Dr.Brown Mwakipesile kamwaga pesa ili kumchafua huyo msukuma kwa vile ni threat kwake kwa kifupi mikono ya Mwakipesile inanuka na imejaa rushwaMkuu, uko sawa; Dr. Brown Mwakipesile analalamikiwa na Wasukuma baada ya kumpa adhabu Msukuma mwenzao aliyekiuka maadili ya Ukristo, uaskofu. Wasukuma hutawasikia wakilitaja hilo jambo though lipo wazi sana. Hata mimi najua chanzo kikubwa cha hu mgogoro.
Hawajawahi kufanya hivyo!Hawa si ndio wale juzi walimpa mzee Pombe tuzo ya kushinda Korona?
Kuandika mitandaoni rahisi sana. Utakuwa humjui Mwakipesile wewe! Hebu tuambie huyo unayesema alizaa nje ya ndoa zamani sana ilikuwa lini? na uzinzi maana yake ni kuzaa nje ya ndoa?Huyo askofu mnayemsema ni mskuma alizaa nje ya ndoa zamani sana hata kabla hajaingia kanisani kwenye utumishi sema Dr.Brown Mwakipesile kamwaga pesa ili kumchafua huyo msukuma kwa vile ni threat kwake kwa kifupi mikono ya Mwakipesile inanuka na imejaa rushwa