Recent content by Pwito

  1. P

    CHADEMA tafuteni msemaji mzuri zaidi wa chama! Watanzania wote wanakielewa kwa sasa

    Vigezo vya kuwa msemaji ni vipi kwako?mbona kaongeaviizuritu
  2. P

    Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

    Wanajitekenya wenyewe wanakenua wenyewe. Watanzania sio mazuzu kama wanavyotaka tuonekane
  3. P

    Tujikumbushe watangazaji maarufu Radio one enzi hizo

    Deo Mshigeni na mpenzi wake Vick Msina aliyekuwa na ulegi wa maana ila sura Mungu nisaidie
  4. P

    Said Arfi - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ajiuzulu rasmi!

    Nyie ndo mnaompa Zitto kichwa. Ataondoka na chama kitaongoza nchi 2015.
  5. P

    NATAFUTA MPENZI (awe kati ya 35 -45 miaka)

    Kwa umri huo wako wengi ila kubali kulea watoto wa wenzio.
  6. P

    Huu Utupu unazua balaa kwa lijali yeyote

    Imezuka tabia ya kutumiana picha za nyu....ch zenu maana tangu huu mwezi uanze zilikuwa zinanikatizia na mwenzenu nilikuwa kwenye kwaresma, leo nimeamua kufungua naona mara kiwiliwili mara kidari mara madodo yametulia, yaani hapa mzuka umenipanda ila najiuliza takwimu ya maambukizi imepungua je...
  7. P

    nimeamua niweke picha ya uume wangu

    Ungeuweka huo uume nikiuona tu nitajua ni vipele vya gonjwa gani labda kideri je
  8. P

    Wanawake wenye sura hii hudanganyika kirahisi kwa kupenda vya bure

    Mmh hamna nadharia ya hivyo kabisa, naona unahisi kama unavyojisikia wewe.
  9. P

    TID apewa kichapo ka mbwa mwizi!

    Babuu wa Kitaa kakushushia nawewe ukapata nundu ya pua nini?
  10. P

    Anayedaiwa kumuua padri mushi kufikishwa mahakamani kesho.

    Damu ya mtu haimwagiki bure na roho ya mtu haitoki ikamwacha anayeitoa. Kama ni wa madawa ya kulevya itafahamika tu mbona tunahukumu kama vile tunashabikia kuuwawa kwake?
  11. P

    Shonza na Mwampamba ndani ya New Habari

    Mkumbushe na vyanzo nya mapato vyote vimeanza kupotea
  12. P

    Shonza na Mwampamba ndani ya New Habari

    Hata wamchafue vipi bado ataendelea kuonekana ni mmoja kati ya viongozi shupavu wa Chadema. Sikatai kutetereka kupo lakini mtu anayerudi kwenye mstari ndo shupavu naona wamechelewa sana
  13. P

    CUF katika mkutano leo DSM

    CUF kwa Chadema ni kama Joka la Kibisa, ukitaka walala nalo. Tunawaandalia mwingine Kesho mtongani
  14. P

    Membe na Kikwete ni ndugu

    Nasikia hata enzi za Mkapa alifanya hivyo Mama Anna kwa ndugu zake na alipoondoka wote jiiiii
  15. P

    Membe na Kikwete ni ndugu

    Ndo maana hujapewa nafasi kwenye nchi hii, wenzio wanaundugu wakaribu yaani huruki mtu hapo
Back
Top Bottom