Naomba kujulishwa wanaJF kama mgawo umeanza au kuna tatizo gani maana huku ubungo (baadhi ya maeneo) umeme umekuwa adimu wiki ya pili hii. Mfano jana umekatwa saa kumi na mbili jioni umerudi leo saa 7 mchana. Ukawaka hadi saa 9 ukakatika. Ukarudi saa 10 jioni. Saa 12 umekatika na haijulikani...
hakuna aya yoyote katika quran wala hadithi inayosema ukifunga usimeze mate. hizo ni porojo tu za wasiojua sheria ya dini. uislam sio mgumu kiasi hicho.
Kwakweli tukifika tabata nakosa raha. anakuwa spidi hadi ikikata kona tunayumba. kuna pale darajani na mbele kuna mahali anahama njia kuna kona sio kali, anakuwa spidi hadi mnaegemea upande. Treni ya Spain ilikuwa spidi kwenye kona ndio ikaacha njia. Nikikumbuka hiyo tu, sitamani kupanda treni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.