Hapa Lema alikuwa anamrekodi Sabaya spate attention na amefanikiwa
Nimependa maneno ya Sabaya "Lema we muhuni na Mimi pia muhuni"
Kumbe Lema ni muhuni tu ila kamuotea muhuni mwenyewe, ila pia najiuliza kwanini Lema kawahusisha wachaga kwenye mazungumzo yake,
Ni mpango uliosukwa??
Petro aliyekabidhiwa kanisa na Yesu ambaye aliitwa mwamba alikemewa "Rudi nyuma shetani" kwa mawazo mabovu,
Je Ruwaichi na Nyaisonga ni akina nani hao wasikemewe?
wewe ni mkatoliki mbumbumbu uliyeshikiwa akili na Ruwaichi na genge lake la wanafiki na matapeli
na mimi ni mkatolilki wa kuzaliwa kuishi na kufa ila nasimama na Gwajima katika hili na sio kuburuzwa buruzwa hovyo na makasisi wachumia tumbo wanaondekeza visasi vyao binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.