Recent content by Puza

  1. P

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Mkuu tafuta hooked anchor bolts inaweza kuwa mbadala na suluhisho la changamoto yako
  2. P

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa jinsi ya kuangalia deni la gari TRA

    Inaonekana imekwisha, labda ulipokata bado hawajaisajili
  3. P

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa jinsi ya kuangalia deni la gari TRA

    Mkuu hudaiwi ila bima yako mhh
  4. P

    JamiiForums Tanzania Paka na Mchina

    Wasingekwenda kununua Kijiji cha jirani, Nikajua angetengeneza tatizo la panya lenye kuhitaji paka mambo yangekuwa bambam
  5. P

    JamiiForums Tanzania SENSORS CANT BE DETECTED ON Netbotz rack monitor 570

    Wataalam msaada ninahitaji kuinstall Netbotz rack monitor 570 datacenter lakini tatizo nilokutana nalo kila nnapoconnect sensor zangu hazionekani kwenye pod list tafadhali msaada kwa mwenye idea,
  6. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kufungua file server kwenye ubuntu

    Mkuu Cto hiyo command uloiandika hapo chini naitumiaje naomba nifafanulie kidogo mi natumia ubuntu lakin nipo kigui zaid ila napenda nisogee zaidi.? Je nikiupgrade kutoka kwenye hii version application na data ambazo nimeshaziweka ntalazimika kuziinstall upya au itaziretain?
  7. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kufungua file server kwenye ubuntu

    Shukran mkuu. Mkuu nimefanikiwa. Nilifanya ifuatavyo hata kwa faida ya wengine watakaokutana na haka kachangamoto. File>connect to server>windows share+servername bila kuweka\\+connect> username+password+ full domain name. Hapo wakuu nikafanikiwa
  8. P

    JamiiForums Tanzania Msaada: kuhusu Vodashop makao makuu mwanza

    voda shop hakuna cha kufanya
  9. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kufungua file server kwenye ubuntu

    Wadau natumia ubuntu 11.04 kuna data nataka niziangalie kutoka kwenye file server. je nifanye nini ili niweze kuzipata. kwenye window tushajizoelea ukifungua run > //server name>enter ushafika huku kwenye ubuntu inakuwaje?
  10. P

    JamiiForums Tanzania Ajali mbaya: Basi la Mohammed Trans laua na kujeruhi tena

    Mungu awape ahuen majeruh na kuwatia nguvu na ujasiri wafiwa ktk kipind hiki kigumu
  11. P

    JamiiForums Tanzania air port yetu ya kimataifa ni uwanjwa wa ndege au ni kichekesho??!!

    ok ngoja tusubir wataalam zaid
  12. P

    JamiiForums Tanzania air port yetu ya kimataifa ni uwanjwa wa ndege au ni kichekesho??!!

    hivi wadau kwa zawad ndogondogo kama za electronics ziwe aina moja kama camera,simu au ipod Wawaletea watu tofauti kitu aina moja idadi mwisho kiasi gani unaweza pita nazo bila kulipia ushuru
  13. P

    JamiiForums Tanzania Safari bungeni dodoma

    Pole mdau nadhan wakat mwingne ukipata fursa ni bora ukapita ya kuzunguka utatumia muda mfupi kuliko hiyo njia fupi kwani nadhan serikali imeshasahau kabisa umuhmu wake kila siku imekuwa ahadi hewa
  14. P

    JamiiForums Tanzania Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

    Pata dira watu sample hii na wengne wa jinsi hii miaka 10 ijayo wataiweka wapi tanzania ye2 nahic hata shule ya kata inayosuasua itakua ndoto
Back
Top Bottom