Msaada kufungua file server kwenye ubuntu

Msaada kufungua file server kwenye ubuntu

Puza

Senior Member
Joined
Dec 11, 2010
Posts
106
Reaction score
12
Wadau natumia ubuntu 11.04 kuna data nataka niziangalie kutoka kwenye file server. je nifanye nini ili niweze kuzipata.
kwenye window tushajizoelea ukifungua run > //server name>enter ushafika huku kwenye ubuntu inakuwaje?
 
Kuna tatizo mpaka unatumia so outdated version?
BTW fungua nautilus check menu hii:
file-->Connect to server

Tunatumia Samba protocol
smb://server/files/xyz/
 
Shukran mkuu.
Mkuu nimefanikiwa.
Nilifanya ifuatavyo hata kwa faida ya wengine watakaokutana na haka kachangamoto.
File>connect to server>windows share+servername bila kuweka\\+connect> username+password+ full domain name.
Hapo wakuu nikafanikiwa
 
Mkuu Cto hiyo command uloiandika hapo chini naitumiaje naomba nifafanulie kidogo mi natumia ubuntu lakin nipo kigui zaid ila napenda nisogee zaidi.?
Je nikiupgrade kutoka kwenye hii version application na data ambazo nimeshaziweka ntalazimika kuziinstall upya au itaziretain?
 
Back
Top Bottom