Huyu Machali kwisha kazi,kitu amabacho hatambui ni kwamba Magufuli haliwaalika CCM wenzake akiwa kama Mwenyekiti wa chama cha Mbogamboga na hao kina Mbowe walikuwa wanaenda kwa ishu za Kitaifa mboma Mawaziri wanafanya vikao huko na wote ni wa CCM na hakuna anayepga kelele lile zoezi ni la...
Privately-owned insurance companies, hotels, telecoms, media and transport firms are expected to be among those hardest hit in the new spending cuts that will specifically target a complete halt or drastic reduction of the flow of government funds to the private sector.
The Ministry of Finance...
Hawa jamaa wanaham Makamanda w2 wawatwange kisawasawa ili 2walipe tu hzo ni choko choko za taifa maskin na lenye uroho ma waendelee mana huyu Si Jakaya mana aliwaachilia had wenzetu walikuwa wanawapiga kule mpakan ss huyu Presidaa wa ss nadhan atawanyoosha haswaa.....
Hii taarifa inasikitisha sana Suala nyeti kama hili had Rais ana Dangote waongee wkt ni ishu ya wizara usika na Uongozi wa Dangote wamgeongea na kulimaza mda ss kila kitu Rais hii nchi inasikitisha sana kwakwel.
Freeman Aikael Mbowe alisoma elimu ya msingi katika shule ya Msingi Lambo na kufanikiwa kufaulu.Alifaulia kwenda shule ya Sekondari Kibaha mkoa wa Pwani.
Alipohitimu kidato cha nne Kibaha Sekondari, alifanikiwa kujiunga na kidato cha tano IHUNGO Sekondari Manispaa ya Bukoba. Baadaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.