Wakuu habarini za asubuhi kama kichwa cha habari kinavypjionesha hapo juu ningeomba kupata msaada kuhusu ni wapi naweza kupata mashine ya kubangua karanga na gharama zake.
Natanguliza shukrani zangu.
kwa kweli uchambuzi mwingi humu ni wa ushabiki usio na fact za kimsingi kwa mshabiki wa kawaida katika soka anaweza akamsifia dinho na kumponda messi ila nenda tu youtube utafute kitu ya kuitwa magical messi uone kwamba anayoyafanya kuna mtu anaweza kuyafanya?
unatakiwa uvae nguo ya kawaida tu isiyobana sana wala isiyo pana sana na kama ni mwanaume basi iwe ya kiume na kama ni mwanamke basi iwe ya kike.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakika nakosa neno juu ya fundi luca! sina neno zaidi ya kumuangalia akicheza! hakuna kocha atakaefika Madrid na kuwaza kumuweka bench huyu bwana mdogo simply the best.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mimi ni mshabiki mkubwa sana wa pretty boy jinsi alivyo na mchezo mgumu na pia anajua kucheza na kila bondia kutokan na anavyo kuja na conor nina kuhakikishia hawezi hata kumgusa Floyd ambaye ana good target na good defense, lakini pia mm ni mshabiki mzuri wa canelo Alvarez kijana ameanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.