Hivi majengo yenu ya UBUNGO..... construction materials, including aina ya nondo, sizes na usukwaji...vilitengenezwa originally ku accomodate flyover or high ways being very closely? hivi unajua effect ya vibration and milio ya magari kwa binadamu na majengo.... hii ndio shida ya wafuasi wa...
Most
Uzuri hata ndani ya serikali na katika CCM bado kuna waandamizi wako huko kwa kuzuga lakini ukiwachana bado wana damu za LOWASSA mtupu na wana roho za kichadema...... waliofanikisha MADILI ya hapo juu majority wana katika kategori hizo mbili...... kama si Roho za kichadema anakuwa...
Mkuu hili ndio tatizo letu WaTZ ni rahisi sana kusahau... Mbona haya mambo yalikuwepo kisirisiri na kwa miaka mingi ... kama unakumbuka kulikuwa na syrndrome kwenye vitengo vya taasisi mbali mbali za kiserikali hadi mashirika ya umma mfano Shirika la BIMA la taifa with MBEYA syndrome...
wewe si unamkubali Mwenyekiti...mkwepa kodi...aliyemiliki jengo la NHC kiharamu....more important unawakubali MAPAPA waliobobea ambao mmewasafisha kwa madodoki....
Mkuu Choo cha kike I prefer than cha kiume.... Kwani kuning'inia kwenye yale mabeseni sio mchezo.... Time will tell my friend.... Uzuri wa watanzania ni wepesi wa kusahau na tunakipaji cha kulalamika..... Tuliimba mabadiliko na rais mwenye maamuzi mungu kwa vile anatupenda TUMEPATA RAISI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.