Aah wapi! Umeingia choo cha kike basically kwa macho ya kibaguzi. Hapo inaonyesha uelewa wako ni finyu sana.Mkuu mbona sasa hivi haitajiki kuuliza Wewe CHADEMA kabisa...kwa mwendo wa comments and Jina lako ndio kabisa....
Roho yake nzuri ya kutufilisi mchana kweupe huku hao wananchi wa hiyo sehemu hata makazi descent tu hawana (angewagawia hata mabaki basi) huku yeye akila na kusaza. Hao wakimuamini basi nadhani tuna tatizo kwenye taifa kuliko tunavyofikiria...Angewataja kabisa kuwa ni mwenyekiti na mkuu wa mkoa
Mkuu Choo cha kike I prefer than cha kiume.... Kwani kuning'inia kwenye yale mabeseni sio mchezo.... Time will tell my friend.... Uzuri wa watanzania ni wepesi wa kusahau na tunakipaji cha kulalamika..... Tuliimba mabadiliko na rais mwenye maamuzi mungu kwa vile anatupenda TUMEPATA RAISI SAHIHI kwa TANZANIA YETU.....tumshukuru MUNGU!Aah wapi! Umeingia choo cha kike basically kwa macho ya kibaguzi. Hapo inaonyesha uelewa wako ni finyu sana.
No affiliation but I’m for The underdogs, so what?
Don’t be fooled!
Imepenya hiyooo, mtenda akitendewa hahahahahaha...... Kumbe unakumbukumbu nzuri mkuuNyalandu anammis sana Mzee wa Msoga.. Enzi ya Msoga yeye ndio aliyekuwa bashite wa sasa...
goes around always comes around
sasa zamu yake kushikilia makali...
Watanzania huwa hatusahau ila tunapotezeaga tu, huyu bwana ndo walewale, kakosa ulaji anaanza kusema yooote....... wonderful things kwa wanasiasa wa Tz, poa karibu Ukawa.Yeye Nyalandu ana roho nzuri? Au ndio maneno ya mkosaji? Atuambie imekuwaje mpaka roho mbaya ikaingia CCM. Wanagawanaje nchi kama vipande sababu ya kupewa dhamana? Au amesahau au anafikiri haijulikani?
Good! Cha kike you belong! “Un problema mami”, just don’t forget!Mkuu Choo cha kike I prefer than cha kiume.... Kwani kuning'inia kwenye yale mabeseni sio mchezo.... Time will tell my friend.... Uzuri wa watanzania ni wepesi wa kusahau na tunakipaji cha kulalamika..... Tuliimba mabadiliko na rais mwenye maamuzi mungu kwa vile anatupenda TUMEPATA RAISI SAHIHI kwa TANZANIA YETU.....tumshukuru MUNGU!
Kwahiyo kipenzi chetu, mtetezi wa wanyonge alimnadi jangili sio? Acha kumchafua kipenzi chetu wanyonge.Yeye alipokuwa anaua tembo wetu alikuwa na Roho nzuri? Jangiri mkubwa!
Kajiandaeni Kumpokea MWANAUME MASHINE...kwa matarumbeta, madodoki na JIK...Good! Cha kike you belong! “Un problema mami”, just don’t forget!
Unakobolewa wewe. Ukishatoka kwenye hicho choo cha kike ndo uende ukajiandae.Kajiandaeni Kumpokea MWANAUME MASHINE...kwa matarumbeta, madodoki na JIK...
Cha ARUSHA KIMEPANDA TAYARI.....hii ndio shida ya CHADEMA hatua mbili MATUSI...Unakobolewa wewe. Ukishatoka kwenye hicho choo cha kike ndo uende ukajiandae.
U get what u deserve. “Ukiwashwa unakunwa”Cha ARUSHA KIMEPANDA TAYARI.....hii ndio shida ya CHADEMA hatua mbili MATUSI...