R.I.P degree yangu

R.I.P degree yangu

Mkuu nasmhukuru Mungu mkopo nilipata na ulinisaidia
Niko vizuri tuu ila sasa (...)
Ukikataa ule upande unaotawala kadhia zote utaziona mkuu.
Nimehama chuo sababu ya hii kitu still wanakamia tuu so nime give up...
wewe jamaa kuna vitu unaficha ficha sana unaonekana unashida sema hutaki kufunguka na huwezi kupata msaada bila kufunguka
mambo ukiweka kwenye (..) ni ngumu sisi kukuelewa
 
Mkuu nasmhukuru Mungu mkopo nilipata na ulinisaidia
Niko vizuri tuu ila sasa (...)
Ukikataa ule upande unaotawala kadhia zote utaziona mkuu.
Nimehama chuo sababu ya hii kitu still wanakamia tuu so nime give up...
"UKIKATAA ULE UPANDE UNAOTAWALA ...." .... Funguka basi ukikataa nini?
 
Nilitaman sana kumaliza elimu yangu lakini haikua hivyo kwa sababu ya wenye nchi.
Yote namuachia Mungu.
Kuna mambo mengi yanamfanya mtu asimalize shule/chuo huna ada, umedisco au bangi zimekuwa nyingi mbaka umeshindwa au magonjwa
 
Wewe ni chadema ndio maana una develop hatred against that government ,hasira hasara
Lazima tuwe hatred kwa sababu hamtaki tufanye kazi zetu kwa amani... daily kutuzuia na kufurahia kuona tunavyohangaika
Mtu akionyesha hisia zake wao watumia nguvu ili awe upande wao?
Mnyama husaidia binadamu mf mbwa... kuna watu hawastahili kuitwa binadamu
 
Yaani wewe unakazania tusome thread za nyuma wakati wewe umeweka thread mpya mbona hueleweki? Unasusa chuo kwa sababu za siasa za hovyo za nchi hii halafu unategemea nini kwa mfano?

Kama sababu ya kuacha Degree kwa kututaka tusome thread zako za kale. Haya wee zika hiyo shule yako faida yake utaipata kwa watawala wa Zimbabwe. Mimi ninakupuuza rasmi.
 
Pitia threads zangu za nyuma
Sio ajabu hautapata hiyo degree maana unamapungufu ya hekima na busara. Unakuwa kama wale wasichana wanaobalehe yaani anaweza nuna bila sababu ili umdekeze na kumuuliza tatizo ni nini na bado asikwambie atajivunga na kumumunya maneno ili tu sijui iweje kwasababu za kipuuzi tu zisizo na mashiko.

Sasa wewe sisi hatukuomba uje utulalamikie hapa. Umeleta thread kwamba wadau tujue kuna tatizo tushare nawe tukusaidie suluhu. Ila wewe unaanza kuuma uma maneno hakuna unachosema zaidi ya kutuambia sijui tusome thread zilizopita. Hivi una akili sawa sawa wewe?!

Kama kuna watu wanakukomoa naungana nao mkono unaonekana we ni jeuri sana wacha waikate hiyo degree wasome wenye adabu, wewe kazi tu kuja kumbwela hapa kibwege bwege.....

 
Back
Top Bottom