Julius akienda CHADEMA siku mbili tu atafukuzwa maana atagusa maslahi ya wachaga , na yeye huwa hapendi kushindwa atafukuzwa mapema . Na akiona kitu hakai kimya kipite atadai mpaka mwisho
Lema kiazi haelewi nadhani viroba vimemmaliza , ni ajabu ya Musa , hivi inaonyesha ni jinsi gani kiwanda cha CHADEMA kinavyofyatua uongo kama kawaida yao
Na sikia uchaguzi mkuu wanakodi chopa kila mkoa na yake lakini wataambulia HOLA TU. Tatizo CHADEMA ni sera zao za nchi HAITAWALIKI na watanzania hawapendi fujo na vurugu zisizo na maana, ukanda , Ubaguzi Gongo, Kulalamika hovyo, kujitia wanajua kila kitu, Fedha za ruzuku kuliwa na kikundi cha...
Siasa za NCHI HAITAWALIKI Na vurugu kila eneo CHADEMA ambapo wapo ndio zinazoimaliza CHADEMA , cham kimepoteza muelekeo , kama hawatabadilika na sisa zao hizo kwishei chadema
Siamini kama alishawahi kuwa Padri haiwezekani kabisa anakuwa muongo wa kupitiliza ajabu ya Musa , hafai hata punje huyu nchi ibadilike kuwa ya viwanda ndani ya mwaka mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.