Recent content by Puruma

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mtatiro alifanya Wrong choice...

    Julius akienda CHADEMA siku mbili tu atafukuzwa maana atagusa maslahi ya wachaga , na yeye huwa hapendi kushindwa atafukuzwa mapema . Na akiona kitu hakai kimya kipite atadai mpaka mwisho
  2. P

    JamiiForums Tanzania Hakika: Usingekuta nidhamu na uvumilivu wa JK, hii nchi ingekua pabaya sasa

    Ni ukweli usiofichika , hakuna mtu kama yeye.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Lema kiazi haelewi nadhani viroba vimemmaliza , ni ajabu ya Musa , hivi inaonyesha ni jinsi gani kiwanda cha CHADEMA kinavyofyatua uongo kama kawaida yao
  4. P

    JamiiForums Tanzania Nilichomshauri DK WILBROAD SLAA nilipokutana nae

    Na sikia uchaguzi mkuu wanakodi chopa kila mkoa na yake lakini wataambulia HOLA TU. Tatizo CHADEMA ni sera zao za nchi HAITAWALIKI na watanzania hawapendi fujo na vurugu zisizo na maana, ukanda , Ubaguzi Gongo, Kulalamika hovyo, kujitia wanajua kila kitu, Fedha za ruzuku kuliwa na kikundi cha...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Lowassa, Sumaye na Ngeleja wahojiwa na Kamati ya Maadili, Membe adaiwa kukacha

    Hivi watu wengine hamna cha kuongea kila kitu RITZ ni uongo wa kupitiliza mtu mzima unaongea huna ushahidi wowote
  6. P

    JamiiForums Tanzania Rafiki zangu; "chuki nichukieni lakini niacheni na CCM yangu"

    Akili za wazee wa chopa tatu, mapovu kwa wingi na viroba ni balaa kwa Taifa
  7. P

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kukutana na wanahabari leo mchana

    Wataenda kutokwa na mapovu kama kawaida yao
  8. P

    JamiiForums Tanzania Jamhuri: Pinda agongana na bilionea Dar!

    Aje wakati wa Bunge Bungeni tumsaidie dunia ifahamu hakuna aliye juu ya sheria
  9. P

    JamiiForums Tanzania Tamko la waziri kivuli wa Fedha kuhusu Mashine za EFD

    Wanataka maendeleo wasiyochangia kodi, tumechoka magumashi yao walipe kodi
  10. P

    JamiiForums Tanzania Dr Kitila aliyatabiri haya; Uchaguzi mdogo janga CHADEMA

    Siasa za NCHI HAITAWALIKI Na vurugu kila eneo CHADEMA ambapo wapo ndio zinazoimaliza CHADEMA , cham kimepoteza muelekeo , kama hawatabadilika na sisa zao hizo kwishei chadema
  11. P

    JamiiForums Tanzania Maamuzi magumu: Hii kadi ya CHADEMA adhabu yake risasi na petroli...

    CHADEMA inajenga chuki kila sehemu na itatawala kwa chuki
  12. P

    JamiiForums Tanzania Sasa waandishi mnaweza kwenda mbali na kuandika vitu kwa maisha mapya bila CCM.Ni Reality

    Natoka uchghanyi , nifwanye mpango bwasshe, sikamoo sa kasi mwanangu
  13. P

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Tunahitaji mwaka mmoja tu kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda

    Siamini kama alishawahi kuwa Padri haiwezekani kabisa anakuwa muongo wa kupitiliza ajabu ya Musa , hafai hata punje huyu nchi ibadilike kuwa ya viwanda ndani ya mwaka mmoja.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba wadanganye wasiokujua

    Hakuna wasomi Chadema ambao wapo katika uongozi nafasi za juuau wabunge
  15. P

    JamiiForums Tanzania Chama cha Kilaghai Tanzania...

    CHADEMA wanaverify pesa walizopewa na wajerumani kuwa wamekodi chopa na kuznguka nchi nzima kweli wajinga waliwao. wizi mtupu
Back
Top Bottom