Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

kumbe mtu anaweza kuacha chama kwa kunyimwa tenda? watu mjiulize hivi kwani wenye mtidio wa ubongo wanauliza ruzuku ya cdm wakati ccm inapata trilions of money
 
Kwa msingi wa ze marcopollo mi nakiyetea chadema kuwa hivyo walivyo na wanaweza kujirejebisha ama tuseme wanatafuta urekebishwaji kwa ujumla. Lakini CCM nadhani tumezidi ulaghai na unafiki. Katiba kwa sasa haifuatwi hata kidogo. Kumebakia kundi moja tu ndani ya CCM ambalo liko active..nalo ni kundi la maslahi binafsi ambalo linatumia chama kukuweoa kodi, kufanya magendo hadharani, kukwepa kodi kwa magendo hayo..na ndio ambao hukesha mitandaoni kwa kutumwa ama kutumika kutetea kundi hili kubwa. CCM asilia ni wachache sana na hawako katika mfumo tawala wa chama chetu sbabu hawawezi kutumia rasilimali zao kama rushwa waoate uongozi. Wao wanatumia hii katiba mpya kutoa madukuduku yao. Siwataji tunawajua. Nami niko kundi lao. Hivyo mleta mada jiangalie usafi wako kabla kumwambia mwenzako mlaghai wakati wananchi wetu wanakosa huduma muhimi ndogo ndogo kwa sababu ya uhuni wa wachache wanaojinufaisha ndani ha CHAMA. Hawa wamebeba kundi kubwa la vijana hasa wanaojiita wasomi hawakosoi mwenendo wa chama wanasubiria kunufaika tu na mizoga ya wananchi..shameless.. vijana CCM tunatakiwa kubadilika wengi wetu bendera fuata upepo hatujui hata maadili ya mwananchama kama katiba inavyotaka. Hatuna tofauti na hao unaowashutumu
 
[unafiki kitu kibaya sana, kama cdm ina mambo yote hayo kwanini wewe na baba yako mnakosa usingizi? kama dr ni fisadi na cdm yake kwanini atangazwe ni kiongozi bora africa mashariki kwa uadirifu? kama cfm ni chama cha kilristo waambie mkapa, malechela, sumaye, vuvuzela waje cdm wso si wakristo? pia weka taarifa ya first lsdy na wamwa. mtoto si ridhiki bila kuisema cdm hijaishiQUOTE=Hiroshima;5893685]Njaa ni kitu kibaya sana!!! Kwa hiyo hapa malipo yako ni kiasi gani kwa leo?????!!!!! Kama huridhiki kwa nini usiende mahakamani? Povu la nini hapa???!!!

1378528_621377627913562_1439553841_n.jpg
[/QUOTE]
 
Wadau nimeona ni vyema nikawafumbua macho watanzania wenzangu kuhusiana na Chama hiki cha Kihuni nchini. Nimejaaliwa kubaini uozo mkubwa ndani ya CHADEMA na watanzania wanapaswa kukipiga vita chama hiki kwa gharama yoyote. Mambo hayo ni:
1. Udini
2. Ukanda
3. Ukabila
4. Fujo na uvunjifu wa amani
5. Uzinzi unaofanywa na viongozi wa kitaifa
6. Vurugu bungeni
7. Rushwa kubwa ya ngono ili upitishwe kugombea nafasi yoyote
8. Mwenyekiti kung'ang'ania madaraka
9. Tundu Lissu kutumia vibaya sheria kwa manufaa ya chadema
10. Kutimuliwa kwa kipenzi cha vijana nchini ZItto Kabwe.

Watanzania wenzangu tukipinge chama hiki kwani hakina nia njema na nchi yetu. Karibuni chama makini cha Mwalimu Nyerere CCM.
 
Wadau nimeona ni vyema nikawafumbua macho watanzania wenzangu kuhusiana na Chama hiki cha Kihuni nchini. Nimejaaliwa kubaini uozo mkubwa ndani ya CHADEMA na watanzania wanapaswa kukipiga vita chama hiki kwa gharama yoyote. Mambo hayo ni:
1. Udini
2. Ukanda
3. Ukabila
4. Fujo na uvunjifu wa amani
5. Uzinzi unaofanywa na viongozi wa kitaifa
6. Vurugu bungeni
7. Rushwa kubwa ya ngono ili upitishwe kugombea nafasi yoyote
8. Mwenyekiti kung'ang'ania madaraka
9. Tundu Lissu kutumia vibaya sheria kwa manufaa ya chadema
10. Kutimuliwa kwa kipenzi cha vijana nchini ZItto Kabwe.

Watanzania wenzangu tukipinge chama hiki kwani hakina nia njema na nchi yetu. Karibuni chama makini cha Mwalimu Nyerere CCM.

CHADEMA vijana wanaiona kama kituo cha Polisi sasa, Toka Waanze migogoro na Zitto ambaye ndio kipenzi cha vijana wazalendo.
 
Wadau nimeona ni vyema nikawafumbua macho watanzania wenzangu kuhusiana na Chama hiki cha Kihuni nchini. Nimejaaliwa kubaini uozo mkubwa ndani ya CHADEMA na watanzania wanapaswa kukipiga vita chama hiki kwa gharama yoyote. Mambo hayo ni:
1. Udini
2. Ukanda
3. Ukabila
4. Fujo na uvunjifu wa amani
5. Uzinzi unaofanywa na viongozi wa kitaifa
6. Vurugu bungeni
7. Rushwa kubwa ya ngono ili upitishwe kugombea nafasi yoyote
8. Mwenyekiti kung'ang'ania madaraka
9. Tundu Lissu kutumia vibaya sheria kwa manufaa ya chadema
10. Kutimuliwa kwa kipenzi cha vijana nchini ZItto Kabwe.

Watanzania wenzangu tukipinge chama hiki kwani hakina nia njema na nchi yetu. Karibuni chama makini cha Mwalimu Nyerere CCM.

jamani hizi shule za kata mbona zimezalisha maajabu yaani unapanga listi ya mayai viza wala huitaji kujenga hoja
 
Hata CCM walaghai balaa waliahidi maisha bora kwa kila mtanzaniaa hatuyaoni mpaka leo wao ndio wana maisha boraa sie ni kulipa kodi kila siku kodi nyambaafffffff CCM
 
Hata CCM walaghai balaa waliahidi maisha bora kwa kila mtanzaniaa hatuyaoni mpaka leo wao ndio wana maisha boraa sie ni kulipa kodi kila siku kodi nyambaafffffff CCM

Ndugu angalia kauli zako. Usidhani upo bungeni mlipozoea kurusha mateke
 
Wadau nimeona ni vyema nikawafumbua macho watanzania wenzangu kuhusiana na Chama hiki cha Kihuni nchini. Nimejaaliwa kubaini uozo mkubwa ndani ya CHADEMA na watanzania wanapaswa kukipiga vita chama hiki kwa gharama yoyote. Mambo hayo ni:
1. Udini
2. Ukanda
3. Ukabila
4. Fujo na uvunjifu wa amani
5. Uzinzi unaofanywa na viongozi wa kitaifa
6. Vurugu bungeni
7. Rushwa kubwa ya ngono ili upitishwe kugombea nafasi yoyote
8. Mwenyekiti kung'ang'ania madaraka
9. Tundu Lissu kutumia vibaya sheria kwa manufaa ya chadema
10. Kutimuliwa kwa kipenzi cha vijana nchini ZItto Kabwe.

Watanzania wenzangu tukipinge chama hiki kwani hakina nia njema na nchi yetu. Karibuni chama makini cha Mwalimu Nyerere CCM.


So let’s put you in charge of morality a "MORAL PHILOSOPHER"


One day, ask yourself where you got all your knowledge of what is true and understanding of what is wise


Until then, I’ll tell you—you don’t have these things, only an agenda to rid the world of right and wrong.

To take the leap from religion to God is the sign of a fool, for it is a great error to BELIEVE that God must be identified with religion. A religious fundamentalist and an atheist are one and the same in this regard. Dumb and dumber...


Religion is good for one thing: making you feel better while someone else rules you. Religion is more a reflection than a cause of conflicts. The causes lie in conflicting cultural mores and traits...
 
CHADEMA wanaverify pesa walizopewa na wajerumani kuwa wamekodi chopa na kuznguka nchi nzima kweli wajinga waliwao. wizi mtupu
 
Umesema kweli. Lakini pia kumbuka haya yapo ktk kila chama usiwe bias kwa itikadi zako.
Fuata upepo wapo wengi hasa CCM. Vijijini ambako ndio mtaji mkubwa wa CCM wao hawajui sera wala itikadi unayoisema. Wao wanajua CCM ndio kimbilio lao maana imewakuza. Hawa nao ni fuata upepo maana pamoja matatizo yote vijijni wao hawaoni kama kuna haja ya kutafuta faraja nje. Najua hawa utawasifia maana ndio type za watu ambao CCM inawataka.
Suara la fursa tena CCM ndio limeshika mizizi. Ilishawahi kusemwa kuwa Sita, Nape, Makonda, Mpenda zoe, mwakyembe na wengineo walianzisha CCJ kama chaka la kutafutia fursa wakitemwa CCM kama ilivyokuwa ikitetesika.
Rowasa pia ni mtu wa fursa. Hilo mnalifahamu na ndio maana sasa yupo wazi kutangaza nia kabla ya wakati, nje ya utaratibu na mmebaki kumumunya maneno. Na mnajua kuwa Rowasa ni mtu wa fursa, ndio maana mnaogopa hata kumkemea. Kama mnabisha na mna ubavu mvueni uanachama kama mlivyomfanya yule mzanzibari.
Wanachama fursa kwa hiyo wapo pande zote, hawa kina Chriss lukoso, Mwampamba na wengineo uliowataja wamehamia huko kutafuta fursa. Na amini usiamini, wakikosa huko pia watakimbilia kwingineko. Ili kuamini hilo, wanyimeni fursa za kugombea hasa ubunge 2015, utatuambia hapahapa jamvini.
 
Hata CCM walaghai balaa waliahidi maisha bora kwa kila mtanzaniaa hatuyaoni mpaka leo wao ndio wana maisha boraa sie ni kulipa kodi kila siku kodi nyambaafffffff CCM

kwahiyo ulitaka wakuletee maisha bora sebuleni kwako?,jiulize umeifanyia nini TANZANIA sio TANZANIA imekufanyia nini?,hiyo chadema ni vurugu na fujo tu hawana lingine tena ukabila ndio umejaa sana;sina chama!,sitaki siasa
 
Unajua inapotolewa hoja mtu unatakiwa ujibu kwa hoja jamani sio kujibu kwa matusi na kejeli.mfano mtu anapoeleza mapungufu ndani ya chadema huwa anaeleza kwa nia nzuri tu.sio kufananisha upungufu huo na upungufu wa CCM kwa sababu tunataka chama kitakacho tenda tofauti na CCM.kama mchangiaji hana hoja bora atulie sio tu bora ucheze na keybord.
 
unaotuletea wewe ni ulaghai wa maneno! sitegemei siku moja kuwepo chama chochote cha siasa ambacho kitakua perfect ktk kila hatua, hilo haliwezekani tena haliwezekani hata kwenye nyumba za ibada, chama kina katiba na sheria zake na watekelezaji wake ni watu wenye wapungufu yao lakini lazima tujiulize mapungufu yao yana impact gani kwa wananchi walio wengi hasa walala hoi, kama kudokoa hata mimi nadokoa ofisini kwangu hata wewe pia dont bull shit us! lakini lazima tupime kama bado tunaihitaji CCM au tujaribu vyama vingine, umeandika blah blah nyingi lakini umeshindwa kutueleza nini mwananchi wa kawaida afanye kama CDM na CCM havifai, Nadhani wewe ni wale kina Kitila na Zitto na watu wao. election next year sitaki kuwapa kura majambazi sugu CCM niambie nani ana deserve kama siyo Chadema?
 
Hongera sana kwa uchambuzi wako wa kina kuhusu Chadema. Ni dhahiri kuwa unaijua siasa ya Tanzania vizuri sana. Ninakuomba sasa udhihirishe umahiri wako kwa kuichambua pia CCM huku ukijikita katika ufisadi, udini, maadili ya uongozi, wizi wa maliasili - Meno ya tembo, kusafirisha wanyama hai nje, Madawa ya kulevya, Kuporomoka kwa elimu, huduma duni za afya, mikataba ovyo ya madini, vifo- wananchi na waandishi wa habari, miundo mbinu mibovu na mawaziri mizigo. Ukimaliza ulinganishe na tuhuma zako dhidi ya Chadema halafu mwisho unishauri nijiunge na Chama gani - asante sana
 
kwahiyo ulitaka wakuletee maisha bora sebuleni kwako?,jiulize umeifanyia nini TANZANIA sio TANZANIA imekufanyia nini?,hiyo chadema ni vurugu na fujo tu hawana lingine tena ukabila ndio umejaa sana;sina chama!,sitaki siasa

CCM ndio wenye serikalii,CHADEMA hawana serikalii upoooo!!! Maisha bora sio waniletee sebuleni kwangu bali tunahitaji tupate hudumaa boraa za kijamiii kama hospitali,maji,umemee, nadhani umenipataa
Muihukumu Chadema ikishashika dola sio sasaa hivi..
 
Napenda nitumie nafasi hii kuwapongeza vijana ambao kwa namna moja ama nyngine mmekuwa nkifuatilia siasa za nchi hii

lakini napenda kutoa masikitiko yangu hasa kwa vijana ambao kwa kutojitambua wamekuwa wakidhani watapata ukombozi wa nchi hii kupitia CHADEMA.
CHADEMAni chama cha kusikitisha sana.

Chama kimeeneza chuki nchi nzima, leo hii siasa za tanzania zimekuwa ni uadui badala ya ushindani wa kiitikadi.

Nawambia vijana walioko CHADEMA waliojazwa chuli na wajitambue haraka. CHADEMA inatupeleka pabaya watanzania. Leo ukipita vijiweni utakuta watu wanataman kupigana kisa CHADEMA na CCM.

Mbona enzi ya CUF, NCCR na TLP hizi chuki hazikuwepo? CHADEMA leo inahamasisha watu wasinunue kazi za wasanii kisa wamejiunga ccm! Mbona CCM bado wananunua za akna prof.J?

Vijana jitambueni, CHADEMA si chama cha ukombozi kwa hali hii. Hebu jitafakari mchukue maamuzi sahihi vingnevyo mtabaki kutumiwa wakati wanaofaid ni wachache.

Mtajazwa rohmx wa chuki mpaka mtaanza kuchukiana wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom