Recent content by PUMKIN

  1. P

    Mume kufukuzwa kazi kumenifundisha kuchepuka, sasa nimekuwa sugu

    ok sawa ulichokifanya sio sahihi lakini tuseme ukweli wanaume wa sasa hivi wamekua vitu vya ajaabu hata akijua ilimradi maisha yanaonga mnapenda mno kulelewa jamani phuuu
  2. P

    Kuwekana kwenye profile picha ndo kipimo cha upendo?

    Haaaa unachekesha Sikh hizi hata uweke mkiwa kitandani hawajali as long as kipesa uko poa Ch
  3. P

    Hivi ni nini kinachowafanya wanawake wanene kuwaganda wanaume kiasi hiki?

    Ka Kama sio type yako mbona alikutimizia haja zako acha kusingizia ulevi at times huwa nawakosea wanaume maana japo sio wote ila useless kama ww
  4. P

    Kitovu kumuangukia mtoto wa kiume ni kweli anakuwa hana nguvu za kiume?

    La sasa kama hanithi atawezaje kulala je mwanamke
  5. P

    Mke wa mtu anajiuza huku mume wake hajui

    Umbea umekujaa sasa wewe ulijuaje kwamba anaongea na simu wakati yupo na wanaume wengone au ulikua mteja sasa amekubwaga unamharibia nyoosha maelezo yanakuhusu nn wewe kama sio ushakunaku na upashkuna
  6. P

    Naombeni ushauri ndugu zangu,rafiki zangu

    Our stupied.. ...hivi wewe kwa miaka hiyo minne umemzalisha saa hizi ndio unaona mtu mzima ulipokua unambiringisha huko kitandani hadi ukamzalisha hukuyaona haya yote ningekua karibu ningekufungua hicho kichwa chako nione kama umebeba akili au ugali nyambafff
  7. P

    Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

    You can say that again!
  8. P

    Ananilazimisha tukapime Magomeni tuu na sii hospitali nyingine

    Aliomba wakapime ili baadaye aseme wewe ndio uliye muambikiza wake up and smell the coffee bro
  9. P

    Ndoa yangu ina dalili za usaliti

    Kama hata kitanda chako huwezi tandika inategemea nn utasaidiwa kila kitu kha!
  10. P

    Abiria m-baguzi

    Hao watu wanatuonea tu wivu na ngozi zetu na rangi nawanajua kwa hakika hawawezi kuipata
  11. P

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Ningekua karibu ningekupa kofi... Unajisikiliza maneno unayosema sasa its not too late kesho mfuate mwambia enough is enough hufanyi tena kama anaka akifukuze kazi just tell him your back to your sences utakua mtumwa hadi lini jiongeze
  12. P

    Ajira za kuaminika kumbe bado zipo.. Nimezikuta huku.

    Kweli kabisa hawa watu unajaza details kibao sijui siku unaitwa interview utailizwa nini
  13. P

    Sikujua kama ni mke wa mtu

    Sasa baba kama umeshajua na uliapa hutokaa ukafanya hicho kitendo basi mimi nakushauri bora uachane naye Mke wa mtu sumu
  14. P

    Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

    yani that age is perfecto kabisa as for me kama ningelijua ningeolewa na mtu ambaye we differ like 15 years mens mature as in upstairs in there late 30's so unaona hapo bado kidogo tu assetle haa haa mens take it easy with me but that is the trueth.
Back
Top Bottom