ok sawa ulichokifanya sio sahihi lakini tuseme ukweli wanaume wa sasa hivi wamekua vitu vya ajaabu hata akijua ilimradi maisha yanaonga mnapenda mno kulelewa jamani phuuu
Umbea umekujaa sasa wewe ulijuaje kwamba anaongea na simu wakati yupo na wanaume wengone au ulikua mteja sasa amekubwaga unamharibia nyoosha maelezo yanakuhusu nn wewe kama sio ushakunaku na upashkuna
Our stupied.. ...hivi wewe kwa miaka hiyo minne umemzalisha saa hizi ndio unaona mtu mzima ulipokua unambiringisha huko kitandani hadi ukamzalisha hukuyaona haya yote ningekua karibu ningekufungua hicho kichwa chako nione kama umebeba akili au ugali nyambafff
Ningekua karibu ningekupa kofi... Unajisikiliza maneno unayosema sasa its not too late kesho mfuate mwambia enough is enough hufanyi tena kama anaka akifukuze kazi just tell him your back to your sences utakua mtumwa hadi lini jiongeze
yani that age is perfecto kabisa as for me kama ningelijua ningeolewa na mtu ambaye we differ like 15 years mens mature as in upstairs in there late 30's so unaona hapo bado kidogo tu assetle haa haa mens take it easy with me but that is the trueth.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.