Mdogo wangu Mwampamba mbona unajizalilisha hivyo Mjenzi?! Kama sio Hambaku bwana acha mambo hizo dogo waachie wenye unafiki wao.Unanisononesha sana mdogo angu.
Mkuu Ganzi anataka kutuletea unafiki wake leo,kipindi tupo chuo jamaa nilikua nampa big up sana na ndo maana kwenye kampeni zake nilimpa sana support kubwa kule jimboni kwetu bt baada ya kujua unafiki wake hata kumuona ctaki maana kule jimboni nami wataniona mwehu kama yeye
Mkulu te mkwelengusu welele(sio mjinga tu) bali ni mwehu pia nisha mwambia kama anataka kupoteza muda wake basi arudi tena jimboni Mbozi mashariki kugombea,nijuavyo mimi wananchi wa mbozi mashariki(Mlowo,vwawa,nambinzo,ndolezi,mlangali,itaka,halungu,mahenje,myovwizi,ihanda) na kwingine kote...
Mwampamba we hapukupuku hajaha!!Samahani nilitaka tu kumfikishia ujumbe kwa lugha ya kwao!
MWAMPAMBA nakufahamu vyema sasa,mara baada ya kuuza ushindi wa CDM kule mbozi mashariki nilifanya kazi kubwa ya kukusafisha kwa niliamini huwezi fanya ujinga ule kumbe la hasha nilijichora tu kwa wananchi...
Mchange, Zitto, Juliana Shonza, Mtela Mwampamba ni wanafiki wakubwa kwa hoja 2 kuu;
1. Mchange, hii story umetunga na kuiunga unga tuu, haiwezekani mtu anayetaka kukua kwa ajali ya gari afungue tairi ya nyuma ya gari wakati anajua kwa kufanya hivyo huwezi kupata ajari mbaya inayoweza sababisha...
vizur kama kweli una moyo wa dhati kuwakomboa walima kahawa wa mbozi.Ushauri wangu onana na mwampamba(Ganzi) kwani aligombea 2010 na alitikisa sana mbozi mashar nina imani yy atakua anajua vizuri maeneo yepi ni magumu kwa mfano kata ya Itaka,nambinzo halungu,Isansa,Igamba na Iyula kata zote hizo...
Ni kweli elimu kuna watu wamesoma sana lakini kumbuka waalimu wa shule za msingi ndio wengi na wengi wao hawana sifa za kuwa waalimu.Mimi ni mwalimu kwa kitaaluma(UDSM) sikumbuki kama nilifundishwa kuogopa kudai haki zangu!!Waalimu wengi ni wanafiki na waoga ndo maana hadi leo siutaki huo ualimu!
Ndugu W.J.Malecela Salamu
"LUGHA SAHIHI SI KIGEZO CHA KUWA NA FIKIRA SAHIHI".Ninamaana kutumia lugha unayodhani ni bora zaidi ya nyingine haina maana ndo itakayokufanya uwe na mawazo mazuri kama watu wenye lugha hiyo bali mawazo mazuri hutokana na uwezo binafsi wa mtu katika kuchanganua mambo...
Aibu sana kwa mwana chuo tena eti chuo kikuu!!kuandika thread ya namna hiyo.
1.nashindwa kujua alifika fika vipi chuo kikuu mtu huyu((labda kwa kuwa amesema anasoma Udom chuo kinachochukua watu wenye alama za chini japo sio wote.)
2.Uandishi wake haukidhi vigezo vya kuonyesha mwandishi ni mtu...
Special thanks kwako The Finest pamoja na wanaJF wote mliotwakilisha tuliombali.Inaumiza sana kumpoteza Regia,namuonea huruma pacha wake,wazazi wake,ndugu zake wa karibu na hata rafiki zake,najiuliza kama mimi niliyemfahamu hapa JF nimeumia hivi Je hawa watajwa hali ipoje kwao,hapana inaumiza...
mkubwa nashauri hiyo thread ingewekwa juu kabisa maana mi nimejaribu kuitafuta lakini sijaiona,au weka link yake ili tupate namba zinazotumika tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.