Mkulu te mkwelengusu welele(sio mjinga tu) bali ni mwehu pia nisha mwambia kama anataka kupoteza muda wake basi arudi tena jimboni Mbozi mashariki kugombea,nijuavyo mimi wananchi wa mbozi mashariki(Mlowo,vwawa,nambinzo,ndolezi,mlangali,itaka,halungu,mahenje,myovwizi,ihanda) na kwingine kote...