Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Mkuu bila shaka uko sahih, Anaitwa Fadhili Mwaya ,kamanda huyo hajawahi kujificha
hahahaaaaaaaaaaaaa, Fadhili Mwaya = MSF
Mkuu bila shaka uko sahih, Anaitwa Fadhili Mwaya ,kamanda huyo hajawahi kujificha
Hoja nzuri sana, lakini mbona unaficha sana?? Kama ni jembe la ukweli linafanya M4C, kuna shida gani ukilitaja kwa jina????
Ni huyu aliyeleta mada kaamua kujifagilia hapa