Recent content by Proud255

  1. P

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Isidingo Tanzania ilianza kuoneshwa mwaka 1999
  2. P

    Kipindi cha SKONGA, EATV. Kitendawili kinachohitaji Majibu

    Hapana sikubaliani na wewe hiyo sio sababu,kwani walimu zamani walikuwa wanalipwa vizuri?Ualimu ni wito,siku hizi hakuna hilo sababu walimu wenyewe utakuta hajui kitu,mwalimu hajui jibu,mwalimu hatofautishi matumizi ya R na L,mwalimu hajui anachofundisha unategemea mwanafunzi atajua...
  3. P

    Akothee atoa kitchen party kali kwa wanawake wa kitanzania hasa hamisa mabeto

    Ndio maana kasema ukila na kipofu usimshike mkono!Ananjitambua sana Akothee, huyo Hamisa angekula kimya kimya!
  4. P

    Nilimwambia atakufa akafa kweli

    Mshana we hatari,nakuogopa usije nitabiria yakatokea:confused:
  5. P

    Tanzia: Mke mdogo wa Mzee Yusuph afariki dunia wakati akijifungua

    Innalilah wa inna illahy Rajiun.Pole Mzee Yusuf na wanafamilia wote,Allah awape subira.
  6. P

    Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

    Mungu mkubwa,mmh wewe si wa kawaida una maono!
  7. P

    Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

    Mungu mkubwa,Pole naamini ukipita hapo huwa unakumbuka hiyo ajali.
  8. P

    Usirogwe ukampa mtu lift njiani usiyemjua, kumbe niliyembeba alikuwa mgonjwa sana akafariki

    Ndugu usijilaumu sana kwa hilo,ni mapenzi ya Mungu kwani kupitia kwako mwili wa huyo marehemu ulipata nduguze na ukahifadhiwa kufuata taratibu za mazishi,sasa ungemuacha njiani akafariki na mwili wake ukaliwa na fisi je?Kitendo cha kumsaidia ni thawabu umezipata hivyo usijute hata kidogo.Futa...
  9. P

    Usirogwe ukampa mtu lift njiani usiyemjua, kumbe niliyembeba alikuwa mgonjwa sana akafariki

    Mimi sidhani hilo ni jambo zuri maana unaweza kumpa juice au maji bahati mbaya akaanza kuumwa waweza husishwa mpk uchunguzi utapobaini chanzo cha tatizo.
  10. P

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Labda ana maana ya ICJ...International Court of Justice maana hushughulika na mambo ya migogoro ya mipaka n.k
  11. P

    Usikasirike lakini

    haaaah mwenyewe bwana uliyekaa ukaandika hayo.
Back
Top Bottom