Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Na hii report ya Makomeo imedhihirisha kwa kiasi gani ni muongo wa kupindukia
i do agree with acacia to the large extent, unfortunately Makomeo is not that much transparent he has his personal interest on this process of which it will cost the entire country.
The contract was signed sometime back,....MNA UHAKIKA KWENYE MKATABA WAO, KUCHUKUA MCHANGA UNAOBAKI HAIKUWA PART OF MAKUBALIANO YAO???, na hata percentage ya leftovers he has just exaggerate it, as if we are capable of reprocess the remaining minerals.
Think twice.
Capitalists always will exploit you.
Hapa cha maana ni kukataa huu upuuzi wa wazungu koko.
Mara ya kwanza walisema hakuna thamani yoyote ya mchanga then, overnight wanakuja kusema mchanga una thamani japo siyo kubwa sana kama ambayo report imetaja.
It's crazy and a double standard ways of doing things.
Labda, mimi tatizo ninaloliona hapa ni kwamba, both of us we did a childish game for signing those contracts in darkness.
Lack of transparency.