Haiombwi hivyo chief,
Unakasapoti hako kamanzi ili kakupe mbususu?
Mwanamke hataki niwe na wivu naye kwa sababu gani?
Acheni kuwapa sifa wasizostahili hawa makahaba JF in the name of modernity.
Hyo clip ndo umeiona leo? Mbona ni ya zamani kama miaka mitatu huko nyuma.
Inaonekana Fr Kitima anakutesa sana
Nenda kampelekee Hilo donati lako chafu alishughulikie.
NB hiki kisenge chenye chuki na wakatoliki dawa yake ni kukignore.
Historia yake ni ya kusisimua mno hasa Kwa wakatoliki na wapigania haki duniani. Na ametangazwa kuwa mtakatifu mwaka 2018.
Watu wengi huwa na dhana potofu pale kanisa katoliki likiwa upande wa kutetea haki eti linachanganya dini na siasa kitu ambacho sio kweli.
Ona hili bumunda! lenye chuki na UKATOLIKI wewe halijui kanisa katoliki vizuri, baloz wa Vatican na TEC wao ni kitu kimoja.
hawez kufanya maamuzi ya kuwafurahisha wauaji wakubwa nyie wafuga majini.
Huo ujinga wenu pelekeni Kwa kina Malasusa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.