Hakika, hii ni elimu kamambe.
Kupitia elimu kama hii tunaweza kuondokana na umasikini kwa kupata taarifa sahihi na mahususi juu ya teknolojia za Kilimo na kuzifanyia kazi ipasavyo.
Asante sana mkuu, bila shaka wewe ni mtu unaye husika na mbegu bora za Kilimo.
Kama ni ndivyo ningependa kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.