Pamoja mkuuAhsante sana mkuu kwa somo hili
Pamoja sanaAsanteh kwa darasa zuri
Mkuu unalima mahindi?Somo zuri sana hili
Asante kwa darasa zuri sisi wakulima tumekuelewa. Mimi niko Tanga mbegu niliyotumia ni seed. co vp unaweza kunisaidia sifa ya hii mbegu?
Ingia hapaHabari wandugu, ashukuliwe Mungu kuwa tuwazima na anatupigania kwenye changamoto za maisha.
Kwa hali ya kiuchumi ilivyo kwa sasa inatubidi kutafuta miradi tofauti tofauti ili kumudu hali ya sasa. Kwa mtazamo wangu naona sasa ipo haja ya kuitumia ardhi tulio nayo kutuletea maendeleo na sio kukaa na kulalamikia hali ngumu ya maisha.
Katika hayo naombeni kujuzwa kuhusu kilimo. Cha;
1: maparachichi.
Kilimo hiki kipoje, kinahitaji hali ya hewa ya namna gani?
Ni maeneo yepi hapa nchini yanafaa kwa kilimo hiki.?
Vipi kuhusu masoko yapoje?
2:. Matikiti major:
Hapa pia naomba kujuzwa, nifanye nini ikiwa nataka kulima matikiti maji,
Changamoto zake zikoje?
3: Mahindi:
Kilimo hiki kinaonekana kudharaulika lakini kila uchao unga unapanda bei.
Hivi ni njia zipi Bora za kilimo cha mahindi?
Ni mbegu zipi ni bora zaidi kwa hapa nchini hasa kwa mkoa wa morogoro?
Kwa wale wataalamu wa kilimo naomba mnijuze hayo, naamini itasaidia wengi wenye nia kama yangu.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Majibu yako hapaSalaam wakuu.
Msimu huu nimeandaa shamba nataka kulima mahindi. Mnisaidie maswali yafuatayo:
1. Nini tofauti ya mbegu za muda mfupi na mrefu kuhusu kiasi cha magunia unayopata kwa eka?
2. Ni mbegu gani nzuri kupanda huku kwetu Iringa ili nipate mavuno makubwa.
3. Naitaji kg ngapi za mbegu kwa kila eka?.
4. Ni dawa gani zinafaa kupandia na bei zake zikoje?
Pia nakaribisha ushauri wowote kuhusu kilimo cha mahindi.
Asanteni
Msikimbilie sana kwenye Matikiti,Unaweza kunicheck kwa hii no 0715162344 naweza kukupa CBA na masterplan ya matikiti
Mkuu BabM
Kwa Dar es Salaam ni mbegu gani ya mahindi inafaa kulima?
Asante.
Mkuu mimi nalima muheza na kwa sasa niko kwenye paliziMkuu unalima Tanga sehemu gani naona sehemu nyingi bado mvua hazijaanza hapo Tanga. Mbegu nyingine ambazo waweza otesha zikafanya vizuri ni DK8031,Pannar 4m -19, na hizi Seedco 403 au 513.