Recent content by Prolific26

  1. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefanikiwa kutoa pesa zangu zote bank ya CRDB

    Hii CRDB imenifanya nifungua akaunt ya NMB urgently
  2. Prolific26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

    Mpandishe cheo
  3. Prolific26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpanda: Bwana Harusi Afanya Harusi Bila Bibi Harusi.Adai Maisha ni Kujipa Raha Mwenyewe

    Hao wazee wa bi Harus hamnazooo
  4. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

    Psychosis
  5. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya wabeba mkaa maarufu 'booster'

    Mzungu hawezi kumfanyie whiteman mwenzie ukatiri wa moja kwa moja wa namnaa hii, mtu mweusi mbinafs na ni mtu msahaulifu sana, ndo mana tulitawaliwa kirahis na bado tunashindwa kujiletea maendeleo.
  6. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

    RUZKI haina ujanja.
  7. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kuwa ignored na CO - Worker

    Wewe ndo utakua around 20s na hao wanawake ndo around 40s, howcome a gentleman wa miaka 40+ awe driven emotionally na watoto wadogo tena mabinti wa umri wa hata kuwazaa.
  8. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Daah pole sanaa mwamba, juzi tu hapa almanusura yanikute ila Alhamdulilah nilipata bruises tu……Bodaboda zina save ila very Risk mzee
  9. Prolific26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu Mwanamke ananikatisha tamaa ya kumtunza mtoto

    Bilaa shakaa ndo mana ana kiburii
  10. Prolific26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu Mwanamke ananikatisha tamaa ya kumtunza mtoto

    Single mother watoto wawili baba tofaut na ww ukaomba sub, umetisha……
  11. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Julius Nyerere alikuwa mtu sahihi kupewa nchi kwa mazingira ya kipindi kile

    Yaan unafananisha kizazi kile na hiki kinachoendeshwa na propaganda, undergraduate hana skills yoyote na hana uhakika kile alichohitimu chuoni, kuwa serious kwasasa kuna generation mbovu kabisa ambayo inaweza kuburuzwa sio kuongozwa tu na yoyote yule.
  12. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

    Unasali parokiaa ya wapi?
  13. Prolific26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

    Zinaaa ni uchafu, Mzinifu hadumu kama sio kipato bhas afya lazima kimoja kimtafune haijalishi unaamini Mungu ama laa......
  14. Prolific26

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

    Mbna kama kinyonge sasa unaondokaje na nguo na unaacha mtoto na makaz na husemi sababu nn, au mwanamke ndo alikuaa mpango mzima kwenye maisha yao....
Back
Top Bottom