Nakubaliana na ww asilimia 100%,tatizo tulilo nalo zaidi tanzania ni la SOKO na siyo mafunzo,elimu wanayoitoa leo Dodoma ingefaa kutolewa zaidi mashuleni kilimo kikipewa kipaumbele kama sehemu ya mafunzo ya lazima kwa vijana,tunachakula kingi lakini hatujui njia bora za KUHIFADHI,NAMNA BORA YA...
Jokate unaelewa maana ya kilimo ni biashara?unajua theory ya demand & supply,kilimo syo rahisi hivyo kama unavyodhani ni lazima watu waweke stock wafanya biashara wauze baadae bei ikiwa rafiki
Tatizo lanchii hii nikujipendekeza kwa vijana wengi na kuwaachia wazee wajenge Uchumi wataifa hili yaani ndo tatizo linaloikabili hii nchi kwa sasa,mawazo finyu yanamna hii mtafanya nchi ya viwanda iwe historia
Kama swala Halotel limekuwa la kihuni zaidi wamepunguza vifurushi kwa zaidi ya 70%,na bado wanajinadi wamelenga kutoa Huduma kwa gharama nafuu,Halotel inamilikiwa na Vietnam huwa ni wajanja xana
Ningeshangaa kama ungeandika bila kuweka jina lako na namba za Simu hapo chini,u DC na RC unatafutwa kwa udi na uvumba kwenye swala linalo wahusu watumishi wa kiroho huwa spendi sana kuyazungumzia nisijepata laana bure,hakuna ajuaye ni ufunuo gani alio upata mpaka akaamua kusema hayo aliyo yasema
Ningeshauri 2020 vyama vya upinzani wasisimamishe wagombea waache CCM waende bungeni wapishane pale ndani na kushangaa Yale majengo ya bunge jinsi yalivyo,ila kiukweli chachu ya democrasia ya Tanzania ina elekea kuwa ukakasi siyo kawaida kabisa
Barua za madiwani kujiuzulu wa chama pinzani huwa zinawafikia kwa kasi mno ila hizo za chama tawala na dola haziwafikii zinawapigaga upofu tu,nasema ndo mwanzo wa wengine kutoka ccm na Lusaka ukombozi wa kweli kuna BASHE Naye anachelewa sana kwa kweli ajitaidi aje upande wa pili awe mfano wa...
Leo nimefurahi sana kwa wadau wa JF kuliona hili swala,nilisha wahi kujiuliza kunatofauti gani kati ya YONO na TRA mbona kama wanafanya kazi zinazofanana!!lakini kinacho sikitisha zaidi nitabia ya kuviziana waliyo nayo YONO wao huwa wanapenda sana kufilisi kuliko maelezo wao hawana notes to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.