Mkuu check comment zangu #35 na #38 unipe ufafanuzi zaidi.Elungata, mkuu karanga za maganda debe moja linaanzia 5000. unatumia ndoo ya mzambiki. gunia moja la maganda ukiwa unapima vizuri linatoa kilo 33. ndugu yangu kama una mtaji unaweza kuni ajiri.
mkuu unapatikana wapi tuzungumze namba zangu ni 0624007100,nipigie tufanye bnessElungata, mkuu karanga za maganda debe moja linaanzia 5000. unatumia ndoo ya mzambiki. gunia moja la maganda ukiwa unapima vizuri linatoa kilo 33. ndugu yangu kama una mtaji unaweza kuni ajiri.
Safi sana mkuudarubin. mkoa tabora wilaya ya kaliua,jimbo la ulyankulu.vijiji vingi.kuna mnange. ukungwe. ipeja. uyoa. kona nne. usafiri unapatikana mkuu. changamoto kupata mtu mwaminifu pia mzoefu wa kazi. mie nimeifanya na ndungu yangu zaid ya miaka 3. changamoto zote nazijua pia hata masoko ya kuuzia karanga nayafahamu.
Mkuu sasa hivi bei zikoje huko kaliuadarubin. mkoa tabora wilaya ya kaliua,jimbo la ulyankulu.vijiji vingi.kuna mnange. ukungwe. ipeja. uyoa. kona nne. usafiri unapatikana mkuu. changamoto kupata mtu mwaminifu pia mzoefu wa kazi. mie nimeifanya na ndungu yangu zaid ya miaka 3. changamoto zote nazijua pia hata masoko ya kuuzia karanga nayafahamu.
poa ngoja nitakuchekiTopUp. Kwa sasa sipo mkoa wa tabora, msimu wa kuvuna karanga ni wa pili mwishoni karanga zinakuwa nyingi sana, bei huwa inaanzia buku 5 na kuendelea. Kwa mtu ambae ana mtaji tunaweza kushirikiana mimi nikiwa kama wakala wake wa kukusanya mazao.uaminifu ni silaha yangu kubwa katika maisha.0622310464
Hii idea ni nzuri sanaLuna ndugu yangu alikuwa ananunua mahindi meeengi kipindu cha mavuno halafu anayapiga dawa na kuyahifadhi mpaka yatakapoanza kupanda bei ndo anayauza lakn aliacha sijui ata sababu ilikua ni nini..... Ngoja nkamuulize akinipa jibu ntarudi apa
mashine ya kukoboa/ kungua karanga ina bei gani?Kusema ukweli karanga zinalipa hasa ukiwa na mashine ya kukoboresha.. Utatengeneza extra money.
Sent using Jamii Forums mobile app