Recent content by PROFESA KYANDO

  1. PROFESA KYANDO

    Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

    duh kweli mkuu.. lisemwalo lipo kwa tulio pita pita kwenye sekta.. Bandugu bameeejaa muno! Lakin jee suluhisho n nin twende mbele.?
  2. PROFESA KYANDO

    Kikwete: Lowassa ni jembe

    HAHAHAHHAHHAHHAHHAH TEEEH TEEEEH.... LOLIONDO ILIShindikanaaaa HAHHAHHAHHAHHA
  3. PROFESA KYANDO

    Maajabu kutoka bungeni yataisha lini?

    BAADA ya mapumziko ya miezi takribani mitatu, watunga sheria wamerudi tena bungeni kwa ajili ya kikao chao cha mwisho kwa mwaka huu. Waliondoka Dodoma mwezi Agosti baada ya kufanya vituko vingi vya kushangaza wakati wa kikao cha bajeti. Baada ya maoni ya watu mbalimbali kuhusiana na jinsi...
  4. PROFESA KYANDO

    Spika Makinda anafanya haya kwa maslai ya nani?

    JULAI 28, mwaka huu, Spika Anne Makinda aliivunja Kamati ya Nishati na Madini ikia ni mara ya kwanza kutokana na kashfa ya rushwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Agosti 2, Makinda akaunda kamati ndogo kuchunguza tuhuma hizo zilizokuwa zikiwakabili baadhi ya wabunge...
  5. PROFESA KYANDO

    Kesi ya Kiongozi Uamsho: Mawakili watishia kujitoa, Sheikh Farid anyolewa ndevu...

    Hahahahahahahahahah, TAQBILL shehe EID EL HAJ YA SAFARI HII UTAILA NA KUIFAIDI JELA.. WALIOKUWA WANAKUSAPOT NA KUKUSHABIKIA WOTE WAMEKUKIMBIA.,, TAAAQBIIIL..... ALLAH AQBAL
  6. PROFESA KYANDO

    Kikwete na mawaziri kadhaa kuzuru Muscat Jumatatu 15, Oktoba 2012

    Nimeona anashangaaa shangaa ikulu ya oman, na mwenzake membe anazubaaa zubaaa tuu ,, lile jumbaa la dhahabu..
  7. PROFESA KYANDO

    Baba Mzazi wa Mhe. Tundu Antipas Lissu Mughwai afariki dunia jioni ya leo

    Pole, sana mhe, tundu lisu na ukoo wako na wana chadema tuko nyuma yako, its saddest moment ever,,
  8. PROFESA KYANDO

    Jaji kiongozi Fakh Jundu amjibu Lissu kuhusu tuhuma zilizotolewa dhidi ya Mahakama Bungeni

    Ijumaa, Agosti 31, 2012 06:30 Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam *Ashangazwa na tuhuma zinazoelekezwa kwake *Asema viongozi wa aina hiyo ni hatari mno JAJI Kiongozi, Fakhi Jundu amesema mjadala wa uteuzi wa majaji uliotokea hivi karibu ni dalili mbaya, inayoonyesha...
  9. PROFESA KYANDO

    Naibu Waziri aikalia kooni TANESCO

    Ijumaa, Agosti 31, 2012 06:30 Na Benjamin Masese *Aiagiza isikate umeme ovyo * RC Simbakalia amwaga ‘kilio’ SERIKALI imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuacha mara moja kukata umeme katika taasisi zote ambazo zinatoa huduma muhimu kwa jamii...
  10. PROFESA KYANDO

    Kikwete wasaidie wazee wako

    mmmmh Tanzaniaa:A S 465:
  11. PROFESA KYANDO

    Kikwete wasaidie wazee wako

    Mwananchi Communications Ltd Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) iliyovunjika mwaka 1977, Pascala Maziku akiomba dua, kwenye mkutano wa wastaafu hao uliofanyika jana jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akimwuliza Mungu kama kweli wana haki ya kulipwa mafao yao au la. Mzee huyo...
  12. PROFESA KYANDO

    Mramba alibebesha mzigo Baraza la Mawazir

    Ijumaa, Agosti 24, 2012 05:48 Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba, ameiambia mahakama kuwa mkataba kati ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Kampuni ya Alex Stewart, ulisainiwa bila kujadiliwa na Baraza la Mawaziri wala Mwanasheria...
  13. PROFESA KYANDO

    mtanzania;Kada wa CCM awashukia Msekwa, Nape

    Ijumaa, Agosti 24, 2012 05:46 Na Elizabeth Mjatta KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), David Msuya, amekitaka chama chake kubadilisha mfumo wa kumpata Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, ili nafasi hiyo iwe ya kugombea. Msuya alisema mfumo wa sasa wa kumteua...
  14. PROFESA KYANDO

    Diallo atamba kurudisha heshima ya CCM Mwanza

    Ijumaa, Agosti 24, 2012 05:46 Na waandishi Wetu, Mikoani KINDUMBWENDUMBWE cha kuwania nafasi ya uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimezidi kushika kasi huku baadhi ya wagombea wakiweka wazi mikakati yao. Hata hivyo mchuano mkali ukitarajiwa kuwa...
Back
Top Bottom