Huyu daktari amekuwa akitunwa kwa uadilifu na misimamo yake thabiti.Hili kundi la lowasa halithamini hata mchango wa slaa.Nawashauri wamwache slaa wao kama wanajiamini waendelee na harakati zao, heshima ni utu c pesa. But history will one day talk slaa.
Binafsi baadhi yetu tuliopata kuwa karibu na slaa naweza kusema alijitoa mhanga kukijenga CDM. Alikuwa tayari hata kushinda njaa ila lengo la ukombozi litimie, leo hii anatukanwa na vjana waliokuja na Lowasa CDM inaniuma saana ila najua mungu atamlipa...
Kwanza sikuwa na haja ya kupima maana njia zangu hazikuwa nzuri ila nlipolazimishwa na bibie nikajikaza kufika angaza mara mkojo,mara kuharisha mpaka wife akanza kushtuka dakika kumi za kusubiria majibu nlimalizia msalani jamani hili gonjwa noma nimeambiwa niko pouwa ila after3 months nirudi...
Naomba kukaribishwa upya katika jukwaa hili maana nilistop kwanza kutokana na matatizo ya mie na my ex wangu sasa nipo mbioni kupata mwingine hasa ktk jukwaa hili naomba kukaribishwa
Sometimes am lonely ila nashinda hiyo hali coz naishi na Barmaid amenifanya nimsahau wife yuko perfect ktk huduma zote tofauti na X wangu wanaume tujipe moyo wala tusipanic devorce inapotokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.