Recent content by prof Mose

  1. prof Mose

    Msaada juu ya solar panel

    Nashukuru mkuu
  2. prof Mose

    Msaada juu ya solar panel

    Nipo Kongwa Dodoma mkuu
  3. prof Mose

    Msaada juu ya solar panel

    Hi! JF members Naombeni msaada kwa wenye uelewa wa solar panel nzuri yenye uwezo wa kuwasha tv inchi 32 Naomba nisaidiwe brand nzuri na ni watt ngapi? Betri N ngapi na hiyo tv inchi 32 pamoja na gharama zake. Note Nahitaji vyote yaani panel, betri na tv ''32 pamoja na gharama zake...
  4. prof Mose

    Yanga haijajiandaa kuchukua ubingwa 2021/2022

    Ndo umeandika nini sasa Hizi akili hizi basi tu!
  5. prof Mose

    Napinga GSM kuingia mkataba na NBC ili kuendesha ligi kuu ya soka Tanzania

    Mkuu mwambie Mo nae aingie kama mdhamini mwenza ili tutoke droo maana hapa naona usimba na uyanga tu ndo umetawala
  6. prof Mose

    Amri Kiemba yuko underrated

    Of course yupo vizuri sana na anachambua kwa fact, shidahavutii kumsikiliza
  7. prof Mose

    Msaada PC yangu imezima ghafla na haiwaki

    Nashukuru mkuu ni power ndo haiwaki kabla ya kuichaji ilikuwa fresh tu na window haikuwa na shida
  8. prof Mose

    Msaada PC yangu imezima ghafla na haiwaki

    Naombeni msaada wenu laptop yangu ni Lenovo X240 ilikuwa nzima tu sasa nimeenda kuichaji baada ya muda nikajaribu kuiwasha ikagoma kuwaka Unfortunately sina uzoefu nayo sana so nashindwa kujua la kufanya, naombeni msaada wenu tafadhali na natanguliza shukrani
  9. prof Mose

    Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

    Ukiacha kitonga na nyang'olo ambazo nazijua kona nyingine ipo njia ya njombe kuelekea makete hiyo nayo ni balaa
  10. prof Mose

    Ni hatua gani za kufuata ili kufunguliwa matokeo yaliyofungiwa na NECTA?

    Asante kwa ushauri mkuu japo hapa shida inaonesha ilikuwa kwa mmiliki wa shule na siyo kwa wazazi
  11. prof Mose

    Ni hatua gani za kufuata ili kufunguliwa matokeo yaliyofungiwa na NECTA?

    Habari wakuu! Nina mdogo wangu alihitimu form four mwaka 2017 lakini kwa bahati mbaya kutokana na ubabaishaji wa shule aliyokuwa anasoma(shule ya private) uongozi wa shule haukulipia ada ya mtihani ya wanafunzi hali iliyopelekea matokeo yao kufungiwa. Naomba mnisaidie procedures za kufuata ili...
  12. prof Mose

    Laptop yangu inasumbua

    Habari wana Jf wakati naendelea na kazi zangu hapa pc yangu imecollapse ghafla ikanambia your pc run ito ploblem you need to restart ikajizima na kurestart yenyewe lakini ghafla tena ikacollapse na mara hii inashtuka na kuzima. Sasa naomba wataalamu mnieleze tatizo ninini na inatakiwa...
  13. prof Mose

    Namkubali sana mtangazaji Denis Mwasalanga wa RFA

    Huyo nampata kwenye michezo pale
Back
Top Bottom