Hi! JF members
Naombeni msaada kwa wenye uelewa wa solar panel nzuri yenye uwezo wa kuwasha tv inchi 32
Naomba nisaidiwe brand nzuri na ni watt ngapi?
Betri N ngapi na hiyo tv inchi 32 pamoja na gharama zake.
Note Nahitaji vyote yaani panel, betri na tv ''32 pamoja na gharama zake...
Naombeni msaada wenu laptop yangu ni Lenovo X240 ilikuwa nzima tu sasa nimeenda kuichaji baada ya muda nikajaribu kuiwasha ikagoma kuwaka
Unfortunately sina uzoefu nayo sana so nashindwa kujua la kufanya, naombeni msaada wenu tafadhali na natanguliza shukrani
Habari wakuu!
Nina mdogo wangu alihitimu form four mwaka 2017 lakini kwa bahati mbaya kutokana na ubabaishaji wa shule aliyokuwa anasoma(shule ya private) uongozi wa shule haukulipia ada ya mtihani ya wanafunzi hali iliyopelekea matokeo yao kufungiwa.
Naomba mnisaidie procedures za kufuata ili...
Habari wana Jf wakati naendelea na kazi zangu hapa pc yangu imecollapse ghafla ikanambia your pc run ito ploblem you need to restart ikajizima na kurestart yenyewe lakini ghafla tena ikacollapse na mara hii inashtuka na kuzima.
Sasa naomba wataalamu mnieleze tatizo ninini na inatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.