Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini

Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.

Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.

3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati

4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma

5. Kona za Lukumbulu songea huko

6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta , Same


Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.

Ongeza Kona Kali nyingine
Kona za Rombo, Kilimanjaro
 
Hata ile ya Tunduru kwenda Namtumbo ina kona sana. Yaani kona masaa
kona hizi ni hatari, washukuru wamewekewa rami siku hizi, kipindi napiga Pale Tunduru sec ilikuwa mwendo wa vumbi na kona kama zote plus ups n down za kilimasera ilikuwa hapatoshi
 
Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini

Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.

Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.

3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati

4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma

5. Kona za Lukumbulu songea huko

6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta , Same


Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.

Ongeza Kona Kali nyingine
Kona za mlima kobero

Ukitoka kabanga kuingia border ya burundi
 
Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini

Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.

Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.

3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati

4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma

5. Kona za Lukumbulu songea huko

6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta , Same


Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.

Ongeza Kona Kali nyingine
Hivi kona za Msambiazi nazo ni kali?
 
Sema TZ hakuna barabara yenye kona mbaya. Tembeeni huko duniani muone maajabu. Last Year i was in Mumbay tukapanga tukatembelee safu ya milima ya Himalaya, mwenyeji wetu Mr Ramesh akatushauri tufanye safari ya kwenda kimji kidogo kiitwacho Mandahli (si mdogo kihivyo ila kwa kule ni mdogo)then tufike sehemu inaitwa Kinnaur and we took a Car instead of a Train which seems to be as cheaper than Car. Kwa Gari mnalipa 1700 Rupee sijui hapa Bongo ni kiasi gani wakati ukitumia Train ni around 900 Rupee. Tuliamua kutumia Gari kwa kuwa mwenyeji alituambia mtaona safu ya hiyo milima kwa uwazi lakn tunapaswa kuwa majasiri wa kiwango kikubwa mno maana ile barabara nadhani inaweza kuwa moja kati ya barabara za kifo zaidi duniani. Safari yetu ilianza mapema saa moja kwa saa za Mumbai (BOMBAY) kuelekea huko ambako ni magharibi ya India na ni mpakani kwa nchi PAKISTANI, CHINA na yenyewe INDIA, huko ndiko hupatikana jimbo maafuru la KASHAMIR ambalo lina mgogoro kati ya INDIA na PAKISTAN na ikumbukwe zamani hizi nchi ilikuwa nchi moja tu. Basi mzigo ukaamshwa na Gari moja matata sana huku sijawahi ona aina hiyo ya gari (MASERATI) aisee asikwambie mtu watu wanateseka kwenye hii dunia acha utani. Hiyo barabara unayopita kwanza nyembamba na mostly haina lami, na ni safari ya siku 2 hivi maana huwazi tembea usiku ile njia wallah. Mnatembea juu ambako chini kuna mto au korongo la urefu wa mita 150 na mkitumbukia huko hakuna atakuja kukutoeni. Muendako mnapaswa kubeba chakula kwa wingi maana hujui kitatukia nn, vyakula vya kihindi michosho kinyama, hawali ng'ombe nk, mi binafsi nilibeba maharage ya kopo, crips, Biskuti nyeupi zinakuwa na chumvi, maziwa na juice. Njiani mnaweza kuta migahawa ile local na sehemu chache vijiji ambako hutoa huduma ya kulala na pancha. Safari yetu ilituchuka siku 3 badala ya 2, mbaya kuna Baridi kali sana kwenye ile safu ya milima na barafu tupu juu huko. Hakuna chance yoyote kwa dereva kufanya makosa yoyote yale, kwanza hakuna vibao vya kuonesha mteremko mkali, au kona ni mwendo wa uzoefu wa dereva tu. Kwa jinsi nilivyokuwa nashikilia gari mungu ndio anajua. Itoshe kusema tembeeni duniani mjionee jinsi madereva walivyo na skills na niseme hapa wazi HAKUNA DEREVA WA TZ ATAENDESHA KWA ILE ROAD.
Next trip mungu akijaalia safari ya Argentina au Peru tutamuomba mwenyeji wetu atutembeze kwenye safu ya milima ya Andes kwa gari ili tujifunze zaidi. Ila pia nasikia CHINA kuna deadly roads sema kwakuwa wako more advanced kwenye technology ndio inapunguza ukali.
TZ hatuna hata barabara inayotisha sema tuna poor technology. Lkn huko India hata namna ya kuweka miundombinu ni mtihani sana.
Kurudi tulirudi kwa Ndege ambayo ni kama rupee 2200 hivi.
Ile barabara hata usisearch kwa Youtube mtajionea ni kama hadithi ila ni kweli kabisa. Wale wahindu wanateseka bhana waacheni waje huku wawe vibarua kwa Mo
Kuna video nimewahi kuangalia youtube njia za huko zilivyo, naona kabisa inaendana na ulichoandika hapa.

Hongera kwa kufika huko mkuu.

 
Chunya
Screenshot_20210517-212229.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilipita hapo na KIMOTCO, dereva alikuwa noma sana, speed plus hizo kona, nikabaki kushangaa tu.

Aliomba assist ya overtake kwa dereva wa Lori akapewa na kupaa kileleni kama Bombardier
Duh! Nazani ulihisi haja kubwa inatoka
 
Mi nashangaa watu wanafananisha eti na mburu kusiko hata na maporomoko,

Burdani anapitaga na mpaka 90kmph usiku, Madereva Wageni wengine wakifika Mombo wanaomba Mwenyeji awasaidie kupandisha, No chance for mistakes juu kuna jabali, chini kuna falls kati hapatoshi.

Cha kushangaza Sijawahi sikia ajali njia ilee.
Ajali hutikea kwa nadra sana, na wanaopata ajali huwa wageni wa njia hiyo.
 
Back
Top Bottom