polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,808
Huko ni balaa ila wengi hawajafika huko ila wakifika watapiga saluti nilipita huko nikiwa na project fulani kutulo shamba la maua pale.Hakuna barabara yenye kona nyingi za kuudhi kama barabara itokayo Chimala Mbeya kuelekea Matamba na Uwanji Makete.
Kuna kona 54 ukipitia ile barabara ya hifadhi ya msitu wa TFS.