Recent content by PRODIGOUS

  1. P

    Mwigulu Nchemba adai alikuwa best student stashahada ya kwanza na ya pili.

    tunataka vitendo not empty words..... anaweza kweli akawa one of the best students of his time ila hana leadership ethics at all. Anakauli za hovyo kama mtu ambaye hajaenda shule.
  2. P

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    hamna kitu hapa, wale wale tu.
  3. P

    Kamanda Lema ndani ya Arumeru

    SHANGWE TU ARUMERU! HAO MAFISADI WASHAPEWA VIDONGE VYAO NA KAMANDA LEMA........:A S embarassed:
  4. P

    Chadema kama mnataka kushinda ubunge Arumeru mtumieni John Shibuda

    Bora wana chadema Arumeru tusiwakilishwe kuliko kuwakilishwa na huyo shibuda................................................................ :alien::alien:
  5. P

    UDSM PAMENUKA TENA no lectures

    Ni kweli bana watu tunahaha tu saizi! japokuwa wametutumia hao ffu mpaka mwenge lazime kinukee.......
  6. P

    Hakitaeleweka mpaka wenzetu waachiwe!

    Hivi wenzetu wapigwe , wadhalilishwe, wadaiwe dhamana ya mali isiyohamishika inayozidi millioni moja wakati wanafunzi hao ndio wanaodai mkopo alafu tukae kimya? Tuko tayari kufa kwa ajili ya haki yetu. Ndotumeanza hivyo .......... NO RETREAT NO SURRENDER.... .
  7. P

    Kutujazia FFU chuoni kwetu wakati ni kweli hatuna hata asilimia sifuri ya mkopo!.......

    Jamani hebu sikieni hii! Zaidi ya wanafunzi elfu moja waliojiunga mwaka wa kwanza mwaka 2011, hawana mkopo chuo kikuu cha Dar es salaam wataishije? wengine wamelazimika kughairi mwaka. leo walipoandamana kujua mustakabali wao, magari ya FFU ndio yaliyotumwa kutoa majibu. Hivi kweli kama...
  8. P

    Hello Great thinkers!

    I'm a form six graduate and i had been expecting to study law and later become an advocate. But the problem arising now is that i got 2point 10 which is not acceptable for law in most universities . But in reality that is what i want as my future career. what should i do because im so...
  9. P

    Hamjambo wanajamii!!!!

    sote tuwageni ngoja tujikaribishe.............
Back
Top Bottom