UDSM PAMENUKA TENA no lectures

UDSM PAMENUKA TENA no lectures

Tumewapa break viongozi wa daruso wakae kikao na kufanya maamuzi magumu....tutarudi rev square after few hours kujua hatima ya hawa jamaa zetu
 
Ni kweli bana watu tunahaha tu saizi! japokuwa wametutumia hao ffu mpaka mwenge lazime kinukee.......
 
Huyu Rejao ni recruit mpya wa UWT ndio maana ana kiherehere sana katika kutekeleza wajibu wake wa 'disinformation'. I know u! Wana JF msipoteze muda kwa huyu msaliti, just ignore him. Hebu endeleeni kutuletea details za kile kinachoendelea hapo 'Hill'.
 
Huyu Rejao ni recruit mpya wa UWT ndio maana ana kiherehere sana katika kutekeleza wajibu wake wa 'disinformation'. I know u! Wana JF msipoteze muda kwa huyu msaliti, just ignore him. Hebu endeleeni kutuletea details za kile kinachoendelea hapo 'Hill'.
..............................................
update:

Wanafunzi wapo darasani wanaendelea na vipindi. Wengine wanaelekea kafterias kupata chakula cha mchana. Kwa kifupi shughuli zinaendelea kama kawaida.
 
By all definitions the so called mzee is material fool. Hawa ndio wanachelewesha uhuru wa kweli Tanzania.
 
UDSM mmechelewa sana. msipoteze muda tena.
 
Bunge la wanafuunzi lipo katika mkutano....tunawaombea watoe maamuzi sahihi maana maamuzi yao yatachochea machafuko zaidi baadae
 
Mods nipe ban kwa maneno haya nitakayosema.
REJEO AND MZEE **** YOU!
 
Mods nipe ban kwa maneno haya nitakayosema.
REJEO AND MZEE FU..CK YOU BI.TCH
 
Toka hii sredi imeanza sijaona update yoyote ya huo mgomo mnaoungelea...kazi kupingana na facts ninazowapa!

Dogo! Dogo! Acha kutumika vibaya! Utakuja shangaa pasipo na majibu!
 
Acha kudanganya umma...nipo maeneo ya UDSM na kila ktu kipo shwari

we mweu kweli uko UDSM hata unakufahamu wewe? wakusoma udsm wote wanaharakati sio kama wewe itakuwa umesoma vile vyuo vya kununua mitihani
 
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu vijana pambaneni, kifo cha wengi pia harusi
 
Back
Top Bottom