Recent content by Prodigal Son

  1. Prodigal Son

    Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    Kivipi sasa, sasa kama mtu anajifanya anajua kila kitu, ya nini kubishana naye si unanyamaza??? kubishana kwa hoja sawa ila sio kwa dhihaka
  2. Prodigal Son

    Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    Ulitaka nioteshe yote 50,000, je hayo yote yapo hapa Tanzania?unajiona mjuaji, unawakosesha wengine maarifa, ndio maana mara nyingi tunanyamaza, ninayo maarifa ya kutosha kuhusu hili, na hilo sina shaka nao hata kidogo, kuna mwenzio alikuwa ananibishia huwezi otesha Apple in dry areas sasa hivi...
  3. Prodigal Son

    Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    Karibu Nyumbani kwangu, Saa nyingine, ndio maana maarifa hatu shirikishi watu kwa sababu ya watu kama nyie,
  4. Prodigal Son

    Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    Hii kitu ni nzuri ila kwa commercial farmer ni capital intensive, unatakiwa uwe na organic waste za kutosha, production site inatakiwa iwe mbali na makazi ya watu, in the mean time kwa DSM kuna mzungu anafanya anachukua organic waste kwa masoko, na anauza vitu kadhaa mpaka mbolea anauza,, yupo...
  5. Prodigal Son

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Hayafai, kupikia chakula cha binadamu hata wanaotumia oil chafu kupikia pia haifai kabisa
  6. Prodigal Son

    Tumchambue Rostam Aziz, ni mjamaa mwana CCM kweli?

    Mfanya BIASHARA yoyote wa caliber ya Rostam, siasa , kuwa karibu na watawala,, ni fursa,,kwa kufanya hivyo himaya yake lazima itamalaki,,lazima apate fursa mpya, hakuna lingine zaidi ya hilo==in other words mfanyabiashara huku kwetu Africa ukijitenda na WATAWALA ILI UTOBOE NI KAMA NGAMIA KUPENYA...
  7. Prodigal Son

    Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Mkuu, vyote ni vinalipa LAKINI inategemea na factor nying, mfano malengo yako, soko lako mtaji ulionao NK Ni vizuri ukajiuliza kwa context ya TANZANIA kati ya nyama ya KOndoo, mbuzi na ngombe nini kinalika zaidi? mara nyingi ukitoa mikoa ya Arusha na kwa mbali Singida sijawahi ona NYAMA ya...
  8. Prodigal Son

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Kwa constext ya TANZANIA, kama huna mtaji mkubwa, kama wewe unajitafuta,, hii KITU hapana,,,kilimo cha kwenye makaratasi ni kweli kinalipa na faida unaweza iona lakini in reality hakuna kitu kama HICHO, Kuna swala la chakula + unaweza anza fuga mfano pumba bei yake ni 20, 000, ikapanda mpaka...
  9. Prodigal Son

    Kenya's economy compared to Tanzania in 2025, Nairobi beats Dodoma

    Kwenye makaraatasi iko hivyo lakini in reality wanaotuzidi ni wanasiasa wakenya wazungu, wahindi,waarabu wa kenya ndio wanatuzidi. ukija kwa uchumi mojamoja Wakenya wengi ni makapuku, Uchumi wa kenya umejengwa na waingereza tangu miaka hiyo, makampuni mengi ni ya kwao sasa utalinganisha na sisi...
  10. Prodigal Son

    Wachina watoka machozi ya damu-TRUMP Azuia Havard Kudahili wageni

    Mkuu hii sio kweli vyuo vingi vya china bado saana Publications, groundbreaking technologies zipi umeziona zimetoka china? China wewe come up with your product kwa mass production nend akwao kutokana na cheap labour hakuna lingine lolote hata Chinese best brain hawataki kufanya kazi kwo mbona...
  11. Prodigal Son

    Watumishi wa UMMA kuweni makini na mikopo ya muda mrefu pamoja na baadhi ya taasisi

    Umesema kweli Kimsingi hata hayo mabank hakuna nafuu hata kidogo, kikubwa ni kukopa kwa akili saana na kuwekeza very wise usikope ukajengee nyumba hata kidogo Unaweza ukakopa ukanunua hisa au kuwekeza kwenye maeneo yenye tija yatakayo kupa kipato on regular basis
  12. Prodigal Son

    Tanzania ilikuwa sahihi kuisadia ANC kuondokana na utawala wa makaburu Afrika Kusini? Tulifaidikaje?

    siasa za jana huwezi linganisha na siasa za leo, infact kwa kipindi hicho Nyerere asingefanya hivyo na yeye asingedumu madarakani lazima angeundiwa zengwe aondolewe mfano mzuri ni Samora wa Msumbiji, anyway kosa kubwa alilofanya alitakiwa aingie nao mkataba wa kibiashara kama walivyofanya...
  13. Prodigal Son

    Abdulwahid Kleist Sykes: Kumbukumbu

    Kuna ndugu yake alikuwa Diwani wa Upanga, then Meya wa DSM sijui bado yupo hai
  14. Prodigal Son

    Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

    Huna mdogo wako tuongee kiutu uzima
  15. Prodigal Son

    Wambugu Apple, kutoka kwa Peter Wambugu

    Mkuu hawa SUA hawajitambui hata kidogo ukiwa challenge utasikia mtu anakujibu unataka professor nkafuge ngombe wenzio kenya wana kuku chotara wa kienyeji anaitwa KARI ALITOKANA NA kuku pure wa kienyeji waliochukuliwa sehemu mbalimbali ya Kenya na ndio wakatengeneza hiyo mbegu,, na huyo kuku...
Back
Top Bottom