Mkuu hawa SUA hawajitambui hata kidogo
ukiwa challenge utasikia mtu anakujibu unataka professor nkafuge ngombe
wenzio kenya wana kuku chotara wa kienyeji anaitwa KARI ALITOKANA NA kuku pure wa kienyeji waliochukuliwa sehemu mbalimbali ya Kenya na ndio wakatengeneza hiyo mbegu,, na huyo kuku...
Nimeshafanya naye biashara nilinunua kwa pesa ya kenya, Nilimfuata shambani kwao na nilikutana na baba yake, na hata baada ya kurudi na kuotesha nilionge Tanzania nilishaagiza miche mara tatu kwa hiyo bei ukinunua mingi ukimuomba naamini atakupunguzia
Ni mbegu poa saana kwa watu wa Arusha Kilimanjaro, mbeya iringa na maeneo mengine hii ni fursa...Unaweza ku wtasup Catherine Wambugu mkafanya biashara mche moja anauza KSH 1000, ameridhia niweke nuumber yake hapa +254722284176 ni mtu oa saana na yuko very reliable
Kila la kheri wakulima
Mimi nimeotesha apple DSM,, kupata matunda nilishapata ila simshauri mtu aoteshe aple dar..mikoa kama kagera..Arusha iringa Njombe sawa ila DSm ni changamoto saana..kipindi cha joto zinashambuliwa sana, nina mbegu ya wambugu kutoka kenya na nyingine nilinunua kuffel creek nadhani hata tamu tamu...
ni criteria gani umetumia kutambua sijui chochote, karibu saana kwangu uone, wengine hatuandiki hapa kufurahisha watu, au kufurahisha jukwaa...tunajaribu ku share knowledge as i practice.hayo uliyoyataja kwako wewe ndio yaelekea unayajua ninayo matunda ambayo huyajui na mengine i am sure hutakaa...
what is your point, yapo matunda yanakubali hapa bongo na mengine hayakubali, mfano kwa ukanda wa pwani ni ngumu saana kuotesha APPLE likakubali, nilijaribu wambugu apple pamoja na mbegu nili buy Kuffel Creek garden , iliota poa ilitoa mauwa mengi ila kutokana na joto miti ilishambuliwa na...
Mimi kwenye compaund yangu nimeotesha kila aina ya tunda
FANYA HIVI
chimba shimo liende mpaka chini ya msingi, weka PVC pipe chini kabisa hata futi tatu chini ya shimo weka kokote kwenye PVC, weka mbolea then otesha mti wako wowote
ukifanya hivyo kila ukimwagilia maji yatakuwa yanaenda chini na...
Mimi ni mfugaji
ushauri wangu======MAJI+ PANDA MALISHO HAKIKISHA UNAUHAKIKA WA KILA MFUGO UTAKAE MFUGA ana CHAKULA CHA MWAKA MOJA PAMOJA NA MAJI ===
ushauri wa PILI===invest kwenye mbegu sio kufuga goat miaka miwili then ana kG 15,,hakikisha una mgegu sahihi
Ushauri wa mwisho+++==== security...
well, hakikisha unachimba shimo kubwa liende chini ya msingi, na hata kama ni kumwagilia hakikisha unachimbia PVC ikute ile roots weka kokoto ukifanya hivyo roots will go down na msingi wako utakuw a salama kabisa
Mtembelee kenya anaitwa Mhandisi Anthony KINOTI....huyo ni mkulima mkubwa saana wa dragon kenya na ana sell mbegu kwa bei poa na anasafirisha popote duniani
Mimi ni Mtanganyika nimeshafika shambani kwake mara mbili
na sasa hivi mimi ni miongoni mwa watanganyika wanaolima dragon kw akiwango cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.