Recent content by Prodigal Son

  1. Prodigal Son

    Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

    Huna mdogo wako tuongee kiutu uzima
  2. Prodigal Son

    Wambugu Apple, kutoka kwa Peter Wambugu

    Mkuu hawa SUA hawajitambui hata kidogo ukiwa challenge utasikia mtu anakujibu unataka professor nkafuge ngombe wenzio kenya wana kuku chotara wa kienyeji anaitwa KARI ALITOKANA NA kuku pure wa kienyeji waliochukuliwa sehemu mbalimbali ya Kenya na ndio wakatengeneza hiyo mbegu,, na huyo kuku...
  3. Prodigal Son

    Wambugu Apple, kutoka kwa Peter Wambugu

    Nimeshafanya naye biashara nilinunua kwa pesa ya kenya, Nilimfuata shambani kwao na nilikutana na baba yake, na hata baada ya kurudi na kuotesha nilionge Tanzania nilishaagiza miche mara tatu kwa hiyo bei ukinunua mingi ukimuomba naamini atakupunguzia
  4. Prodigal Son

    Wambugu Apple, kutoka kwa Peter Wambugu

    Ni mbegu poa saana kwa watu wa Arusha Kilimanjaro, mbeya iringa na maeneo mengine hii ni fursa...Unaweza ku wtasup Catherine Wambugu mkafanya biashara mche moja anauza KSH 1000, ameridhia niweke nuumber yake hapa +254722284176 ni mtu oa saana na yuko very reliable Kila la kheri wakulima
  5. Prodigal Son

    Natafuta ng’ombe wa maziwa pure breed

    Mkuu salama, naomba utupe elimu kidogo ya silage ya Mihogo, nitashukuru saana kwani wengi tutafaidika
  6. Prodigal Son

    Hizi Hapa Mbinu Za Kutengeneza Shamba La Mfano

    Ndio maana kwa BONGO mufaika wa kilimo na ufugaji ni dalali,,,muuza miche..mbegu nk
  7. Prodigal Son

    Kilimo cha Tufaa (Apple)

    Mimi nimeotesha apple DSM,, kupata matunda nilishapata ila simshauri mtu aoteshe aple dar..mikoa kama kagera..Arusha iringa Njombe sawa ila DSm ni changamoto saana..kipindi cha joto zinashambuliwa sana, nina mbegu ya wambugu kutoka kenya na nyingine nilinunua kuffel creek nadhani hata tamu tamu...
  8. Prodigal Son

    Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    ni criteria gani umetumia kutambua sijui chochote, karibu saana kwangu uone, wengine hatuandiki hapa kufurahisha watu, au kufurahisha jukwaa...tunajaribu ku share knowledge as i practice.hayo uliyoyataja kwako wewe ndio yaelekea unayajua ninayo matunda ambayo huyajui na mengine i am sure hutakaa...
  9. Prodigal Son

    Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    what is your point, yapo matunda yanakubali hapa bongo na mengine hayakubali, mfano kwa ukanda wa pwani ni ngumu saana kuotesha APPLE likakubali, nilijaribu wambugu apple pamoja na mbegu nili buy Kuffel Creek garden , iliota poa ilitoa mauwa mengi ila kutokana na joto miti ilishambuliwa na...
  10. Prodigal Son

    Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    Mimi kwenye compaund yangu nimeotesha kila aina ya tunda FANYA HIVI chimba shimo liende mpaka chini ya msingi, weka PVC pipe chini kabisa hata futi tatu chini ya shimo weka kokote kwenye PVC, weka mbolea then otesha mti wako wowote ukifanya hivyo kila ukimwagilia maji yatakuwa yanaenda chini na...
  11. Prodigal Son

    Hizi Hapa Mbinu Za Kutengeneza Shamba La Mfano

    Hope picha ni kutoka shambani kwako
  12. Prodigal Son

    Nakusudia kuanzisha Ranch/Kufuga ng’ombe wa nyama- Naomba ushauri

    Mimi ni mfugaji ushauri wangu======MAJI+ PANDA MALISHO HAKIKISHA UNAUHAKIKA WA KILA MFUGO UTAKAE MFUGA ana CHAKULA CHA MWAKA MOJA PAMOJA NA MAJI === ushauri wa PILI===invest kwenye mbegu sio kufuga goat miaka miwili then ana kG 15,,hakikisha una mgegu sahihi Ushauri wa mwisho+++==== security...
  13. Prodigal Son

    Je, ni umbali gani unatakiwa kupandwa miti ifuatayo pembeni ya fensi ili mizizi isipasue msingi, mwisho ukuta?

    well, hakikisha unachimba shimo kubwa liende chini ya msingi, na hata kama ni kumwagilia hakikisha unachimbia PVC ikute ile roots weka kokoto ukifanya hivyo roots will go down na msingi wako utakuw a salama kabisa
  14. Prodigal Son

    Wakenya, nielekezeni pa kujifunza kilimo cha dragon na kiwi

    Mtembelee kenya anaitwa Mhandisi Anthony KINOTI....huyo ni mkulima mkubwa saana wa dragon kenya na ana sell mbegu kwa bei poa na anasafirisha popote duniani Mimi ni Mtanganyika nimeshafika shambani kwake mara mbili na sasa hivi mimi ni miongoni mwa watanganyika wanaolima dragon kw akiwango cha...
  15. Prodigal Son

    Kilimo cha Dragons na matunda mengine kama Kiwi

    Kwa Kigoma naamini itakubali mbegu kwa sasa nizo ila sio nyingi saana niliwasiliana na Anthony akanishauri nimeshagundua nilipokosea
Back
Top Bottom