Wapendwa no 666 si kitu kigeni masikioni au machoni pa watu wengi,namba hizi zimezungumziwa na watu wengi hasa wabobezi wa mambo ya kidini kama ishara ya mpinga Kristo ambayo itatumika kwa kasi katika nyakati za mwisho.
Kupitia no 666 ambayo itakuwa kama muhuri katika paji la uso ama kiganja...
Nimeusoma huu uzi huku machozi yakinitoka maana mwandishi amejitahidi kuonyesha uhalisia wa mambo kwa masihara,nikiambiwa nifupishe mawazo ya mwandishi kwa maneno machache"CCM IMEGEUKA NO "666" Huwezi fanya lolote ama chochote bila wao utake usitake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu vya kusikitisha sana kwanini mh kama mchango aliombwa kindugu kaamua kutangaza?? Hii ni kutaka kutuaminisha kwamba yeye ndo kila kitu kwa familia ya kina Msigwa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shangilia kitu roho inapenda karibu ila utaratibu wetu ije mvua yaje masika au kiangazi we are Reds hatunaga unafiki karibu tukufunde pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la kusoma sana na kukataa uwepo wa Mungu nalipinga,naona tatizo ni kufuata mkumbo tu wanafalsafa na wabobezi kibao wamekiri uwepo wa Mungu sembuse kiranga???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.