Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
Wakumbushe mzee
 
mwenye nafasi kubwa yakushinda ni gwajiboy. Kawe washamchoka halima amekuwa mbunge kipindi kirefu Sana.
Atashinda ila hafai


Mheshimiwa kuna kitu kimekupita kando, kichwa cha habari Kamati kuu/ Halmashauri kuu walikosea kumpitisha Gwajima.

Kamati kuu/ Halmashauri kuu kumleta mgombea ubunge ambaye alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi ndani ya CCM maana yake wale wawili wa mwanzo pamoja kushinda lakini walikosa sifa nyingine za ziada ambazo Gwajima alikuwa nazo Ndio maana jina lake likapitishwa.

Askofu Gwajima ambae vikao vizito vya chama vilimpisha anatukana/kebei dini zingine.Kawe ina wakaazi wa dini zote WaIslam,Wakatoliki,Walutheri,Mirovian ambao ni wapiga kura.
 
Vikao vizito vya chama vimepitisha mtu mzito, hili litoshe kusema anastahili kushinda

Walikosea na kadri muda unavyokwenda baadhi ya wajumbe wa vikao hivyo wanazidi kujiweka kando na uamuzi huo ingawa walishiriki.
 
Umekosea sana mkuu Paulo alipobadilika hakurudi tena nyuma huyu tumwite tu kinyonga ndiyo sifa yake kumfananisha na Paulo ni kufuru.
Nimekuekewa Paskali. Hapo ndio tunaingia kwenye sayansi ya "split personality". Rejea William Shakespeare, Dr. Jekyll and Mr. Hyde. Upande mmoja tunaye Gwaji ambaye ni Mtume Paulo na ule mwingine ni Saul. Hivyo unashauri tumchague Gwaji kama Mt. Paulo na tumwache Gwaji ambaye ni Saul. Tatizo linalojitokeza hapo ni lini utajua kwamba aliyepo leo ni Paulo na si Sauli ili watu waweze kumchagua. Ufumbuzi wake ni kuwaacha wote na si kucheza patapotea.
 
Kwa kusema tu kwamba CCM ni chama kizoefu na kikongwe unatakiwa kuelewa kwa uzoefu wake kilijua kinahitaji kiongozi jasiri kama Gwajima kwa ajili ya maendeleo ya Kawe...
Hana msimamo hatufai....HAUWEZI KUAPA MADHABAHUN KUWA UBUNGE SIYO SAIZI YAKO UBUNGE NI KUJISHUSHA UTABAKI KUMTUMIKIA MUNGU ALIYEHAI...Leo unagombea UBUNGE..GWAJIMA HATUFAI KAWE...HALIMA MDEE NDIYO KAWE NA KAWE NI HALIMA MDEE

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Askofu Gwajima ambae vikao vizito vya chama vilimpisha anatukana/kebei dini zingine.Kawe ina wakaazi wa dini zote WaIslam,Wakatoliki,Walutheri,Mirovian ambao ni wapiga kura.
Huu ni uongo, tumia correct tenses, Gwajima alitukana enzi zile za zamani na yalipita, yalikwisha. Kusema anatukana ni uongo wa mchana kweupe.

P
 
Huu ni uongo, tumia correct tenses, Gwajima alitukana enzi zile za zamani na yalipita, yalikwisha. Kusema anatukana ni uongo wa mchana kweupe.

P
Alitukana enzi zile..... alipokutana na shetani enzi zile, sasa hivi kakutana na Mungu eti! Huko mjengoni akilutana tena na shetani itakuwaje?
 
Nawapongeza Sana CCM na kamati Kuu kusema kweli wanaakili na wanaona mbali sana nyie wapuuzi mnaoagalia tu hapa mbele hamuwezi elewa lakin wanakamati wakuu wanajua nin wanafanya ndo maana walimchagua Gwajima hvyo kama kunamtu anateseka aendelee tu kuteseka tena akateseka vbayamaana Gwajima ndo mbunge wetu wa kawe
UMEANDIKA UJINGA TUPU! HAISHANGAZI UNAMWONA GWAJIMA ANASTAHILI..MISUKULE BWANA!
 
Back
Top Bottom