Molleli
Senior Member
- Aug 29, 2020
- 178
- 160
Wakumbushe mzeeEthiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin
Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee