amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Rafiki yangu kumbuka every saint has a past, and every sinner has a future, ni kumtia nguvu kiimani huyu amezaliwa upya ya nyuma hatupaswi kuyakumbuka, kama yeyw aliyejuu anatusamehe na wala hatuulizi sisi ni nani mpaka tufanye hayo?
Kwa hivyo, wewe ni mchawi uliye achana na uchawi leo?
Ni kweli hukuwa ukijua Yesu yupo ama ukaidi tu??


