Iko pale mwenge kama unaelekea ununio njia ya kwenda posta. . Ukivuka barabara upande wa kushoto Kuna maisha club nyuma yake uwanja wa Taifa.... ulizia tandale basi umefika
Nina babu yangu yeye ni mstaafu Sasa Anaitwa Conel Isaack Mtuma. Wakati wa Vita alikuwa CO pale kambi ya Kaboya Bukoba. Kipindi cha vita ananisimulia alikuwa na cheo cha luten Conel na mkuu wa iyo kambi ya Kaboya Tabora. Alishiriki akiwa upande wa mawasiliano Je unamfaham. ? Unaweza...
Labda ulikosea njia.... au simu yako imepasuka kioo. ? Me naona pameandikwa Hili ni jukwaa LA mahusiano. Samahani kwani ulidhani ni jukwaa la sheria hili. ? Ukifika hapo kwa mangi kunywa coke baridi ntalipa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.