VIONGOZI wa AFRICA acheni kuwahadaa wananchi wenu na kuwafanya kama hawajielewi,,,,,,,,,
Mnajishauwa kumjia TRUMP juu kua mnalaani kauli alizotoa kuwa kawadharirisha WAAFRICA? Haya ndo maajabu ya 2018..
Nyie mnaojiita VIONGOZI wa Africa,,, mmeshindwa kuitafsiri kauli ya trump !!?
#Africa...