Recent content by Prince Uweri II

  1. P

    Nataka kusafiri na Air Tanzania kutoka Arusha kwenda Mwanza, kumbe hakunaga hii route

    Nimemaliza maandalizi yangu nikiwa na siku kama nne kabla ya tarehe ya kuondoka arusha kwenda mwanza, naingia mtandaoni kufanya booking natafuta hii route siioni napiga simu naambiwa lazima neende KIA. Kwa wenye uelewa wa hii route naomba mnisaidie kwani siamini nachoona mbele yangu kwamba hii...
  2. P

    Huu ugonjwa unaoitwa "chango" kwa wanaume na wanawake unaitwaje kitaalamu?

    Wapendwa nianze kwa kuomba radhi kama mada hii ilisha wahi tolewa bila mimi kujua. Nimekuwa nahangaika sana na tatizo hili la chango kwa kuamini ninalo kwani kwanza kabisa kwangu ninapokuwa na mwenza sijawahi kuweza kurudia tendo. Sasa kila ninapotafuta suluhisho huwa naambiwa yawezekana nina...
  3. P

    Hongera Rais, hizi Trillion 12+ tukipigwa tu hapo awali

    Waajiriwa inchi hii ni asilimia ngap[I bana acha abane tu maana mlivokuwa mnalipwa kila mlichotaka na tawala zilizopita nadhani mnajua hata utendaji ulivokuwa. Sasa thubutu kuleta za kuleta kwenye utendaji uone kilichomtoa kanga manyoya ya mshahara.....
  4. P

    Zitto adai Serikali imekopa kisiri siri pesa za kujenga mradi wa umeme wa mto Rufiji au Stiglers Gorge

    Naamini hujaenda ulaya kwa kipindi hiki chote cha utawala wa JPM hivyo hutotulia wewe kijana. Yaani kuna kitu kikubwa sana unamiss kwenye utawala huu wa stone. Mfuate "Dau" huko aliko akupe nauli za kufuatilia mabilion yaliyofichwa uswis na kwingineko. Danganya watu wote kwa kipindi flani halafu...
  5. P

    Kuna mtanzania aliyewahi pat tuzo ya nobel?

    Hata pale nchi jirani ya zenj huwa hawataki kabisa kumtaja au kumsikia kiongozi wao wa mapinduzi bwana okelo sijui kwa nini....
  6. P

    Kwa waliochaguliwa College of African wildlife management, Mweka tukutane hapa

    Mkuu nashukuru kwa mchango. Kijana kapangiwa tourism na yeye anaamini kule wildlife ndo kuna lipa. Hivo hapa bado tuko kwenye dilemma kwa kushindwa kujua kwa uhakika hasa ni ipi kati ya hizi mbili ni bora na yenye future nzuri.
  7. P

    Kwa waliochaguliwa College of African wildlife management, Mweka tukutane hapa

    Hivi hii course za hiki chuo zina FUTURE/AJIRA gani kwa sasa wakuu??
  8. P

    HESLB yawataka waombaji zaidi ya 25,000 kurekebisha maombi yao

    OK! Hivi hawa kwanini wanapotoa list kama hizi zenye pages zaidi ya 870 na majina hayajapangwa kwa njia yeyote iliyo rahisi kwa mtumiaji (e.g alphabetical, shule moja baada ya ingine au ascending student reg. numbers)hii maana yake huwa nini? Yaani kweli ka karne hizi za teknologia rahisi tu...
  9. P

    Daaa kwa hali hii sijui kama tutapata mkopo kwa section ya pilii

    Hivi hiki cha "MWEKA WILDLIFE" ni cha binafsi au private.....maana ada zao si mchezo mdogo.
  10. P

    Nimeenda ofisi za NHIF kwa ajili ya kujisajili kama mwanachama binafsi nikaambiwa ni milioni 1.5 kwa mwaka. Je, hii ni sawa?

    Ni malipo ya mwaka mmoja na hii haitahusika kwenye matibabu ya cancer kwa mwaka wa kwanza nitakidhi matibabu hayo baada ya kulipa mwaka unaofuata!!
  11. P

    Nimeenda ofisi za NHIF kwa ajili ya kujisajili kama mwanachama binafsi nikaambiwa ni milioni 1.5 kwa mwaka. Je, hii ni sawa?

    Wakuu yawezekana hii mada ilishawahi jadiliwa humu huko nyuma lakini naomba mniwie radhi kwa kuwarudisha nyuma. Nimekuwa kila nikienda hospital mbalimbali kwa ajili ya matibabu najiona kama pekee yangu nisie na bima. Jambo hili limenifanya leo niamue kwenda kujiadikisha pale NHIF. Cha ajabu...
  12. P

    Baada ya kupata "code'' kutoka tcu na ''confirmation successfully'' kutoka chuo husika nini kinafuata?

    Wanajamvi kutokana na destruri ya taasisi hii ya TCU kila hatua kuwa na changamoto zake ambazo kimsingi si za lazima sana lakini kila mara tunajikuta hukohuko tu. Sasa baada ya kuconfirm chaguo la chuo kwa wale wa multi selection nini kinafuata kwa sababu tangu juzi baada ya confirmation bado...
  13. P

    Aliyekuwa dhaifu, mpole kwa kushamirisha ufisadi kila kona na huyu mbabe kwa lugha kali, tata na ngumu kwa kushamirisha hofu kila kopo yupi bora?

    Namsikiliza mheshimiwa akiwa live huko Serengeti. Dah lugha inayotumika kama hujamzoea unaweza sema basi leo viongozi wa mkoa huo hawana bahati. Lakini nashindwa kujua kama iko siku mambo yanaweza kubadilika kwa mheshimiwa kuja kuwa na lugha za staha kama ambavyo inategemewa kwa nafasi yake...
  14. P

    Mlioko hapo Dar si muende hapo TCU physically ili kujua kulikoni ?

    Jamani hali si hali hatujui cha kufanya na muda ndo hivo tena na si ajabu kesho tukasikie mengine ya kutuumiza wadahiliwa ambao hatujapata hizo code zao. Sasa kwa nini walioko karibu na hizo ofisi zao hapo dar wasichukue jitihada za maksudi? I wish hii ofisi ingekuwa musoma....
Back
Top Bottom