Prince Uweri II
Member
- Jul 23, 2018
- 41
- 30
Nimemaliza maandalizi yangu nikiwa na siku kama nne kabla ya tarehe ya kuondoka arusha kwenda mwanza, naingia mtandaoni kufanya booking natafuta hii route siioni napiga simu naambiwa lazima neende KIA.
Kwa wenye uelewa wa hii route naomba mnisaidie kwani siamini nachoona mbele yangu kwamba hii route huwa haipo.
Kwa wenye uelewa wa hii route naomba mnisaidie kwani siamini nachoona mbele yangu kwamba hii route huwa haipo.