Prince Uweri II
Member
- Jul 23, 2018
- 41
- 30
Namsikiliza mheshimiwa akiwa live huko Serengeti.
Dah lugha inayotumika kama hujamzoea unaweza sema basi leo viongozi wa mkoa huo hawana bahati. Lakini nashindwa kujua kama iko siku mambo yanaweza kubadilika kwa mheshimiwa kuja kuwa na lugha za staha kama ambavyo inategemewa kwa nafasi yake.
Lakini pia kama haya yote yana msaada ktk kudhibiti mambo mabaya kwa nchi yetu pengine si vibaya tukasema ukweli tunaumizwa na lugha tu si mbaya kama kuumizwa na ufisadi na ubabe wa matajiri kila kona ya inchi hii.
Bora kuwa na mbabe mmoja kuliko wengi waliopata mihela michafu kwa njia wanazojua wao waliokuwa hawagusiki asilani.
Dah lugha inayotumika kama hujamzoea unaweza sema basi leo viongozi wa mkoa huo hawana bahati. Lakini nashindwa kujua kama iko siku mambo yanaweza kubadilika kwa mheshimiwa kuja kuwa na lugha za staha kama ambavyo inategemewa kwa nafasi yake.
Lakini pia kama haya yote yana msaada ktk kudhibiti mambo mabaya kwa nchi yetu pengine si vibaya tukasema ukweli tunaumizwa na lugha tu si mbaya kama kuumizwa na ufisadi na ubabe wa matajiri kila kona ya inchi hii.
Bora kuwa na mbabe mmoja kuliko wengi waliopata mihela michafu kwa njia wanazojua wao waliokuwa hawagusiki asilani.