Hali gani mkuu.?Daaa naanza kuogopa sasa ..mana nikikosa mkopo .. ndo mda wa kuwa mangi na mm ..mana vyuo vya private ada ayake ... ni hatari jamaan
we ndo kama mm nategemea mkopo npate mana najsomesha mwenyewe hata nkpata pesa ya malaz peke yake ntaweza kpambanaDaaa naanza kuogopa sasa ..mana nikikosa mkopo .. ndo mda wa kuwa mangi na mm ..mana vyuo vya private ada ayake ... ni hatari jamaan
kwel mana kupga ndef tshazoea yan m nkpata ya malaz tu nasomaHuu mkopo ingewezekana kila mtu angepatiwa hela ya kula tu af Ada kila mtu ajijue lkn kukosa kabisa mmmmh kuwa mangi hakuepukiki
Yani ndef sie watoto WA maskin kawaida sana mana hapa na type lkn nimekuala tikiti maji tu since the morning sasa kwa nin nisiishi chuo nikipewa hela ya maradhi tu? Sema haya heslb hawayajuikwel mana kupga ndef tshazoea yan m nkpata ya malaz tu nasoma
Kuwa mangi ndo nini?Huu mkopo ingewezekana kila mtu angepatiwa hela ya kula tu af Ada kila mtu ajijue lkn kukosa kabisa mmmmh kuwa mangi hakuepukiki
Daaa naanza kuogopa sasa maana nikikosa mkopo ndo muda wa kuwa mangi na mimi maana vyuo vya private ada yake ni hatari jamaani.
ki vipi yaan mzee ..sijasema nafundish forex ..iyo kuhusu forex uwamuz wako kama utaamua wewe ukajifunze kama huto taka ni wew ..na hiyo post ipo tokea mwaka jana befor sijaanza kutumia forexJIFUNZEE FOREX...UPIGE PESAA... - JamiiForums
Muda si mrefu kila mtu atajua wewe ni tapeli
Kama ulijaza loan form effectively plus GOD pray utapata tu loan ok.Daaa naanza kuogopa sasa maana nikikosa mkopo ndo muda wa kuwa mangi na mimi maana vyuo vya private ada yake ni hatari jamaani.
Kuna kujaza effective na ukakosa nchi yetu ni ya ubaguzi tuKama ulijaza loan form effectively plus GOD pray utapata tu loan ok.
Linawezekana but Ni ngumu Sana hasa Kama umesomea uchochoroni kuanzia primary to advanced level.Kuna kujaza effective na ukakosa nchi yetu ni ya ubaguzi tu