Usipende kuweka namba za simu humu malemaArdhi nicheki, nipo community ndo first year, ila nimetokea diplomaa 0719464841
sua yametoka lini
Nawapigia lakini hawapatikani au namba inakuwa inatumika ila sahizi wamesema applicant not found in multiple admission listWasiliana na chuo husika mapema
Code zote zinatoka TCU.....Wasiliana na chuo hUsika cio tcu hao ndo watakupa code
Udsm wametoa mida flani ivi leo
Deadline wameongeza mpaka tar 6Hivi hawa tcu wanatufikiria nn sisi ambao mpaka sasa hawajatutumia codes?
Na leo ndo deadline mbona wana dharau sana?