hauna ukimwi mk
mimi pia ilitokea manzi wangu kanishauri tukapime afu mimi nikawa safi ila yeye vipimo vyak vikawa positive aligoma nisile upumbavu kavu ila kwasababu nilikua nae kwa muda mrefu nikaula bila waswas nikiamini kwamba hawzi nipa HIV. kumbe nae ni negative ila kwaaababu alikua na...
Mimi Nina bahati na kula matunda kimasihara ila ngoja nianze na hii
Kuna demu nilikutana nae town tukapiga story nyingi za kfahamiana, siku hyo nilijitoa kumsindikiza mpaka anapoishi. Alinambia ana mtu wake basi kwasababu sikua nikiwaza sana mahusiano nikaona sio tatzo. Basi Yukawa marafiki Wa...
Write your reply...Uvivu wa kuelewa mambo tu. mimi cjaoa ila natamani nioe hata mwaka huu japo bado cjampata wa kumuoa ila i really need to get me a good wife
sina uhakika kama ni wazuri kweli maana wengine tunawajua na wako kawaida sana. labda avatar zao ndo zinasumbua watu tu. bado cjapata kuona mwanamke mzuri wa level ya kunipotosha ila nawasifu kwa kua na Avatar nzuri
Mkuu wewe ndo umenena sasa
Kuna jamaa nimemuona hapo juu katokwa povu kama yeye ndo mkusanyaji wa zaka afu hajamsaidia mtoa post ila kamponda
Be blessed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.